Hivi Wasafi FM hamna program manager?

Jane Lowassa

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2016
Posts
4,955
Reaction score
9,041
Yaani vipindi watangazaji wanapiga kelele, hamna hata mpangilio. Halafu hakuna ubunifu kabisa. Yaani mtangazaji anakuja studio hajui hata ataongelea nn. Unakuta mtangazaji anasubiri upigwe wimbo wa Diamond halafu mada inaanza hapohapo ili mradi tu
 
I think they should hire you as program manager, na tufukuze ile mutu imecover hyo position kwasasa
 
Yaani vipindi watangazaji wanapiga kelele, hamna hata mpangilio. Halafu hakuna ubunifu kabisa. Yaani mtangazaji anakuja studio hajui hata ataongelea nn. Unakuta mtangazaji anasubiri upigwe wimbo wa Diamond halafu mada inaanza hapohapo ili mradi tu
Kinachonishangaza wao ikipigwa nyimbo ya mondi ikiisha ni kuanza kusifu na kuabudu tu na mapambio juu kumuhusu mondi......
Weledi ni kitu muhimu sana kwenye izi kazi....
Anaemuelewa dida anijuze anamuelewaje mie nimeshindwa kabisa kumuelewa naona ni mpiga makelele tu.....
 
Yaani vipindi watangazaji wanapiga kelele, hamna hata mpangilio. Halafu hakuna ubunifu kabisa. Yaani mtangazaji anakuja studio hajui hata ataongelea nn. Unakuta mtangazaji anasubiri upigwe wimbo wa Diamond halafu mada inaanza hapohapo ili mradi tu
Ile siku wanazindua masafa ya kahama alikuwepo pm wao daah ile speech yake ilinishangaza sana eti anajisifu kabisa kwenye media yeye ni bingwa wa fitina....hahahaha
 
Ila Sasa hivi Uchawa na kuabudu watu kumekuwa kwingi sana.

Sijui ni matokeo ya ukosefu wa Ajira au ugumu wa maisha.

Kila mwenye kitu kidogo whether pesa au madaraka kageuzwa mungu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…