ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Unazungumzia sehemu ambayo huna cheti na weledi huna kazi...EA rADIO itabaki kuwa my best station till tomorrow.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazungumzia sehemu ambayo huna cheti na weledi huna kazi...EA rADIO itabaki kuwa my best station till tomorrow.
Hakuna aliekataa basi unaiga hata kwa marehemu ruge kuibua vipaji vya watangazaji kuliko kujaza watu wa ovyo....Wasafi ndio habari ya mjini kama maji vile. Mtake msitake mtaiongelea tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaah nmecheka had mbavu znauma lol.Radio ya familia akitoka kuhojiwa mama dangote na shamte kesho yake esma na msizwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jomoneeeh mie mbavu zangu khaaaaahMtondogoo Zari na wanae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntakufa mie uwiiiihKesho ya mtondogoo anakuja hamisa kusema jinsi alivyopigwa mimba na diamond mara tatu mfululizo....
Inatembelea nyota ya umaarufu kunuka wa Diamond, lakini kimsingi hamna kitu cha kumvutia msikilizaji. Imagine siku ya Jumamosi kama wao wanapiga muziki tu kuanzia jana usiku hadi usiku badala ya kuendesha vipindi vya elimu ya umma na muziki hapa na paleUkitaka kujua haiwezi kufa na inabamba, angalia idadi kubwa ya sponsors wanaodhamini vipindi. Hii ndio tanzania ya ajabu kama ilivo ccm tuu
Kinachonishangaza wao ikipigwa nyimbo ya mondi ikiisha ni kuanza kusifu na kuabudu tu na mapambio juu kumuhusu mondi......
Weledi ni kitu muhimu sana kwenye izi kazi....
Anaemuelewa dida anijuze anamuelewaje mie nimeshindwa kabisa kumuelewa naona ni mpiga makelele tu.....
Yes ni habari ya mjini, but inatokana na wanaosikiliza wanataka nn hasa. Wapo watu wanakaa pembeni ya radio ili mradi tu anaisikiliza. But in reality, kwa msikilizaji makini wa radio angependa sana kusikiliza content na pia kumsikiliza mtangazaji anayejua anachokiongea.Wasafi ndio habari ya mjini kama maji vile. Mtake msitake mtaiongelea tu.
Unamaanisha Nini mkuu wanguCha ajabu kuna huyo mtangazaji Adela Tillya yaani sauti ya ki-radio Tanzania kabisa lakini kajiweka FM radio. Mtangazaji wa FM Station eti anacheka ha ha ha ha ha haaaaaaaaaa, kweli? Halafu sijui nani alimdanganya kuwa kubishana na baba levo kwenye kipindi ndiyo kuvutia wasikilizaji.
Linavyokuja swala la makala achana kabisa naa UTV wale watu wapo vizurii mnoo... hua naakaa na daftari kabisa nachukua notesAchana na hizo redio za kihuni, TBC FM wana vipindi vingi vizuri tu, kuna makala mbali mbali zinazoenda na wakati kwenye upande wa burudani wana mchanganyiko wa nyimbo zenye ujumbe mzuri.
View attachment 1641696
View attachment 1641697
Kuna MTU kasema haipo?Tbc fm ipo.
Nadhani wanalipwa hela ndogo sana. Na mimi natabiri hiki kiredio kitaweka rekodi ya kupoteza umaarufu mapema sana kuliko redio nyingine yoyote kutokea kama wakiendelea hivi. Yaani hawana content kabisa hawa vilaza
Kuna MTU kasema haipo?
Wasafi FM ni redio ya hovyo kabisa, sijuwi kwanini serikali hawaifungii. Nakiri kusema kuwa HAWANA watangazaji hata mmoja anayejitambua, kama si wote basi wengi wao ni mazezeta wasiojuwa kanuni za utangazaji.Yaani vipindi watangazaji wanapiga kelele, hamna hata mpangilio. Halafu hakuna ubunifu kabisa. Yaani mtangazaji anakuja studio hajui hata ataongelea nn. Unakuta mtangazaji anasubiri upigwe wimbo wa Diamond halafu mada inaanza hapohapo ili mradi tu
Kuna MTU kahangaika kumbeSasa mbona mnahangaikaaaa na wasafi tv
Tbc fm arusha wapo vzrAchana na hizo redio za kihuni, TBC FM wana vipindi vingi vizuri tu, kuna makala mbali mbali zinazoenda na wakati kwenye upande wa burudani wana mchanganyiko wa nyimbo zenye ujumbe mzuri.
View attachment 1641696
View attachment 1641697
Kuna MTU kahangaika kumbe
Jane Lowassa kwani umelazimishwa kusikiliza hiyo redioKuna MTU kahangaika kumbe