Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #41
Ha ha ha possible ungekua msanii ungeona poa tuNawaza tu muandishi wa hii makala sijui ulifikiria kitu gani mpaka kuja na hii makala,binafsi kama nafukuzia totoz fulani nikijua fulani aliosha rungu halafu namjua,aaaggggggggh!
Nasitisha mbio za kufukuzia,hua nawaza fulani yule amecum kwenye ile papuch nami nakwenda pale,big noo.
Nisipomjua nakwenda kwa spidi zote maana najua hapo yajayo nayafurahisha.
Ingekuwa hivyo watu wote tungethirika,sehemu nyingine ukimwi haufiki ahahah ,we unadhani kati ya hao wote hakuna alieathirika?Mimi huwa nawaza hivi ikutpkea msanii mmoja ana gonjwa sasa atawaambiloza wengine wote pia!!
wana roho ngumu kama za paka
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ingekuwa hivyo watu wote tungethirika,sehemu nyingine ukimwi haufiki ahahah ,we unadhani kati ya hao wote hakuna alieathirika?
Hizo chain lazima awepo mmoja au wawili sema labda wanajitahidi kula na kunywa dawa vizuri[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwa kweli labda wasanii wako safe mbona sja skia mtu yeyote mwenye shida!
Ila nakumbuka wasanii wengi wa bendi enzi hizo waliambukizana ukimwi.
HahahaHizo chain lazima awepo mmoja au wawili sema labda wanajitahidi kula na kunywa dawa vizuri
Sawa uwe msanii mkubwa udunde tuHahaha
Una nitisha maana mimi nikija kuwa mkubwa nataka niwe msaniii
Naonaga kama wote wanadunda tuu, angekuwa mmoja ana umwa ingevuja
HahahahaSawa uwe msanii mkubwa udunde tu
Hakika. Nasikia Steve Nyerere kaungua. Kuna mwanadada alikua analalamika instagram kwamba kaambukizwa na Steve kwa makusudi wkt ameomba msaada wa kujbgizwa ktk bongo movie. Steve na Wema mnajua ukaribu wao. Mengine mjiongeze wenyeweHizo chain lazima awepo mmoja au wawili sema labda wanajitahidi kula na kunywa dawa vizuri
Usizime ndotoHahahaha
Nimeahirisha wacha niwe hivi hivi
HamnaUsizime ndoto
Sasa uwe msaniii uwahiwe na wema au wolper heee,huoni samatha anavyojiweka mbaliHamna
Ndio.maana nawapongezaga watu.kama kina Banana Zoro alioa mke wake wa kawaida kabsa katulia fresh
HahahahaSasa uwe msaniii uwahiwe na wema au wolper heee,huoni samatha anavyojiweka mbali
Nakumbuka nilicheka sanaHahahaha
Samatta tulimuokoa tuu mashabiki wa mpira
Wema alisha aanza kumnyemelea tukaanzisha kampeni amwache hahaha
HahahahaNakumbuka nilicheka sana
Yaan hata mpira asingecheza tena alietoka ni daimond tuHahahaha
Ila Wema ni shda.
Samatta angeingia mkenge tuu naye angekuwa aliisha
Yes ambaye na yeye stratergy yake ilikuwa ni kumtumia wema kutoka zaid.Yaan hata mpira asingecheza tena alietoka ni daimond tu
Idris bana mpaka kuwa mtu wa vitukoYes ambaye na yeye stratergy yake ilikuwa ni kumtumia wema kutoka zaid.
Tuseme yeye alikuwa ana akili kuliko watu kama kina Idriss
AlizinguaIdris bana mpaka kuwa mtu wa vituko