Hivi wasanii huwa hawana wivu kwenye mapenzi?

Hivi wasanii huwa hawana wivu kwenye mapenzi?

Nawaza tu muandishi wa hii makala sijui ulifikiria kitu gani mpaka kuja na hii makala,binafsi kama nafukuzia totoz fulani nikijua fulani aliosha rungu halafu namjua,aaaggggggggh!
Nasitisha mbio za kufukuzia,hua nawaza fulani yule amecum kwenye ile papuch nami nakwenda pale,big noo.
Nisipomjua nakwenda kwa spidi zote maana najua hapo yajayo nayafurahisha.
Ha ha ha possible ungekua msanii ungeona poa tu
 
Mimi huwa nawaza hivi ikutpkea msanii mmoja ana gonjwa sasa atawaambiloza wengine wote pia!!
wana roho ngumu kama za paka
Ingekuwa hivyo watu wote tungethirika,sehemu nyingine ukimwi haufiki ahahah ,we unadhani kati ya hao wote hakuna alieathirika?
 
Ingekuwa hivyo watu wote tungethirika,sehemu nyingine ukimwi haufiki ahahah ,we unadhani kati ya hao wote hakuna alieathirika?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwa kweli labda wasanii wako safe mbona sja skia mtu yeyote mwenye shida!
Ila nakumbuka wasanii wengi wa bendi enzi hizo waliambukizana ukimwi.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwa kweli labda wasanii wako safe mbona sja skia mtu yeyote mwenye shida!
Ila nakumbuka wasanii wengi wa bendi enzi hizo waliambukizana ukimwi.
Hizo chain lazima awepo mmoja au wawili sema labda wanajitahidi kula na kunywa dawa vizuri
 
Sasa hizo nazo si kazi za kisanii?
 
Hizo chain lazima awepo mmoja au wawili sema labda wanajitahidi kula na kunywa dawa vizuri
Hakika. Nasikia Steve Nyerere kaungua. Kuna mwanadada alikua analalamika instagram kwamba kaambukizwa na Steve kwa makusudi wkt ameomba msaada wa kujbgizwa ktk bongo movie. Steve na Wema mnajua ukaribu wao. Mengine mjiongeze wenyewe
 
Back
Top Bottom