Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hayana chochote yale. Nimeyaoga na bado napigwa vibuti kiainarafiki yangu mmoja alikuwa na mpango wa kwenda kuoga maji y akule kaole bagamoyo kwa sababu hiyo hhaaaaa mwee!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayana chochote yale. Nimeyaoga na bado napigwa vibuti kiainarafiki yangu mmoja alikuwa na mpango wa kwenda kuoga maji y akule kaole bagamoyo kwa sababu hiyo hhaaaaa mwee!!!
Hayana chochote yale. Nimeyaoga na bado napigwa vibuti kiaina
Hayana chochote yale. Nimeyaoga na bado napigwa vibuti kiaina
Na wengi wao wakishaanza kuchuja utasikia ooh, siku hizi hunipendi! ooh mbona hatuendi tena outings kama mwanzo! Kwa kawaida msichana unaemkuta sehemu za starehe au matumizi peke yake ujue keshamuumiza men mwenzako huko atokapo sasa wewe unanyemelea left - overs! ukitaka msichana zama uswazi kisha muibue kama samaki wa beach kisha mtupe unapopenda uone.Kwanza mshikaji alikwenda kwa papara. Neno kunuka linaweza kuwa na maana nyingi, mojawapo huenda likawa kwamba alikuwa anamwambia kwamba "Umezidi mno kudandia usivyovijua". Kwani unapomwambia mtu ananuka rushwa, rushwa ina harufu? Huenda dada yule alishaona mbali, kwamba ikiwa kaka huyu hawajuani lakini anavutwa nami hivi, akiona mwingine si atamwendea vivyo, ANANUKA ufuska!
Wasichana wanawaona wanaume kama wanaume wanavyowaona wasichana. Simple, chemistry ikianza kati ya dada na kaka ni lazima reaction iwepo ili kujua compatibility yao. Any chemical reaction will reach an equilibrium na there will be no more reaction unless another chemichal interferes. Unaweza kupenda kiasai kwamba huwezi kuelezea kitu gani kimekuvutia. Mwingine kavutwa na makalio, mwingine miondoko, mwingine rangi, mwanya, miguu ya bia, macho, sauti, kifua, kiuno .... na kadhalika. Lakini mwisho wa yote mnalazimishwa jembe na shamba vikutane kazini. Kwani unashiba mwondoko wake? Hiyo rangi mbona huioni ukiwa kazini taa unazima?
Leka
huyo rafiki nae...yaani mtu anamuona mdada anapita ati anamkimbilia na kuanza kuongea, ndiomaana kaambiwa ananuka, ukikutana na wa hivyo lazima tu utasikia harufu kali sana ya ukimwi
Kijana Approach, personality na timing kijana
Kijana Approach, personality na timing kijana
Is true, approach counts!Kwanza mshikaji alikwenda kwa papara. Neno kunuka linaweza kuwa na maana nyingi, mojawapo huenda likawa kwamba alikuwa anamwambia kwamba "Umezidi mno kudandia usivyovijua". Kwani unapomwambia mtu ananuka rushwa, rushwa ina harufu? Huenda dada yule alishaona mbali, kwamba ikiwa kaka huyu hawajuani lakini anavutwa nami hivi, akiona mwingine si atamwendea vivyo, ANANUKA ufuska!
Wasichana wanawaona wanaume kama wanaume wanavyowaona wasichana. Simple, chemistry ikianza kati ya dada na kaka ni lazima reaction iwepo ili kujua compatibility yao. Any chemical reaction will reach an equilibrium na there will be no more reaction unless another chemichal interferes. Unaweza kupenda kiasai kwamba huwezi kuelezea kitu gani kimekuvutia. Mwingine kavutwa na makalio, mwingine miondoko, mwingine rangi, mwanya, miguu ya bia, macho, sauti, kifua, kiuno .... na kadhalika. Lakini mwisho wa yote mnalazimishwa jembe na shamba vikutane kazini. Kwani unashiba mwondoko wake? Hiyo rangi mbona huioni ukiwa kazini taa unazima?
Leka
Kijana Approach, personality na timing kijana
Exactly my sentiments! Pale Mlimani City kwa kuwa kuna mkusanyiko mkubwa wa watu wa daraja la kati na la juu, wasichana/wanawake wengi wazuri pia wanakuwepo. Sasa ukianza kuparamia mwanamke usiyemjua lazima akushangae!
Mbona wengine huwa tunakula kwa macho tu kisha tunarudi makwetu?
kazi mnayo.....
Exactly my sentiments! Pale Mlimani City kwa kuwa kuna mkusanyiko mkubwa wa watu wa daraja la kati na la juu, wasichana/wanawake wengi wazuri pia wanakuwepo. Sasa ukianza kuparamia mwanamke usiyemjua lazima akushangae!
Mbona wengine huwa tunakula kwa macho tu kisha tunarudi makwetu?
hahaha bora ule kwa macho na uendelee kushukuru kazi ya uumbaji masaki