MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Ndani ya miaka 12 na tokea nianze Kumuona akiwa Simba SC B ( aliyokuwa nayo Kocha Matola ) na Kupandishwa Timu ya Wakubwa mwaka 2012 mpaka leo ( 2022 ) bado sijamuona Kiungo Mkabaji wa ama Kushindana nae au hata Kumzidi.
Sishangai ndiyo maana wakiwa katika Ndege wakitokea nchini Algeria kucheza na Club Setif Kiungo Mkabaji Marehemu Patrick Mutesa Petit Mafisango akiwa amekaa Siti Moja na Mchezaji Juma Kaseja ( Kipa ) na Kiongozi wa Msafara Kassim Dewji ( KD ) aliwaambia kuwa Simba SC imtunze na imlee vyema Jonas Gerald Mkude kwani ni Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa na ni Hazina kwa Klabu ya Simba na hata kwa Timu yetu ya Taifa.
Najua mtakuja hapa Kumlinganisha na Vichezaji vyenu vya hovyo ( hasa Yule Mrembuaji wa Kisiwani Zanzibar ) ila bado nawaambia kuwa hajatokea Kiungo bora wa Ukabaji kwa Tanzania ndani ya miaka hii Kumi ( 10 ) kama Jonas Mkude.
MINOCYCLINE nikikisifia Kitu sikikosei.
Sishangai ndiyo maana wakiwa katika Ndege wakitokea nchini Algeria kucheza na Club Setif Kiungo Mkabaji Marehemu Patrick Mutesa Petit Mafisango akiwa amekaa Siti Moja na Mchezaji Juma Kaseja ( Kipa ) na Kiongozi wa Msafara Kassim Dewji ( KD ) aliwaambia kuwa Simba SC imtunze na imlee vyema Jonas Gerald Mkude kwani ni Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa na ni Hazina kwa Klabu ya Simba na hata kwa Timu yetu ya Taifa.
Najua mtakuja hapa Kumlinganisha na Vichezaji vyenu vya hovyo ( hasa Yule Mrembuaji wa Kisiwani Zanzibar ) ila bado nawaambia kuwa hajatokea Kiungo bora wa Ukabaji kwa Tanzania ndani ya miaka hii Kumi ( 10 ) kama Jonas Mkude.
MINOCYCLINE nikikisifia Kitu sikikosei.