Hivi watoto wanaanza lini?

Hivi watoto wanaanza lini?

funzadume

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2010
Posts
13,624
Reaction score
21,362
Jamani nauliza swali hili kwa kuwa nimekuta kwenye daftari la mtoto wangu wa kiume ameandika ''I LOVE YOU ... (ametaja jina la msichana), hilo daftari analitumia kufanya kazi zake si la kukusanya kwa mwalimu na hand writing ni ya mwanangu. Mimi sijamuuliza alikuwa na maana gani kuandika vile maana ni mdogo sana yuko Std Two na ana miaka Sita na Nusu

Hivi watoto wadogo wanaanza lini kupendana?
 
Jamani nauliza swali hili kwa kuwa nimekuta kwenye daftari la mtoto wangu wa kiume ameandika ''I LOVE YOU ... (ametaja jina la msichana), hilo daftari analitumia kufanya kazi zake si la kukusanya kwa mwalimu na hand writing ni ya mwanangu. Mimi sijamuuliza alikuwa na maana gani kuandika vile maana ni mdogo sana yuko Std Two na ana miaka Sita na Nusu

Hivi watoto wadogo wanaanza lini kupendana?

Toka tumboni mwa Mama zao.
 
Kuna kupenda na kuna kunjunji, haya ni mambo mawili tofauti.
Kupenda, naturally tumezalwa na upendo.
Mambo ya njunji ndio tunayaanza tukipevuka.
 
ebu wenye kujua watujuze! maana first born wangu anakua kwa kasi ya ajabu watoto kama hawa wataanza kumfundisha yale nisiyotaka ajue je ni katika umri gani unaweza kuongea na mwanao mambo haya?
 
aisee, yaani huyu ni "baba:...yukhhh
mbona umekasirika shost, au wako bado mdogo sana? kweli kuna wakati natamani kujua when I can talk to my kids about sex lakini sina nguvu hapo
 
Like a father like a son
jamani nauliza swali hili kwa kuwa nimekuta kwenye daftari la mtoto wangu wa kiume ameandika ''i love you ... (ametaja jina la msichana), hilo daftari analitumia kufanya kazi zake si la kukusanya kwa mwalimu na hand writing ni ya mwanangu. Mimi sijamuuliza alikuwa na maana gani kuandika vile maana ni mdogo sana yuko std two na ana miaka sita na nusu

hivi watoto wadogo wanaanza lini kupendana?
 
My 7 yrs niece thinks she is in love with her classmate H!!! because I am very close to her she tells me that she likes the boy and so on (hope she wont mind me telling the story here) last time she was with me at my house...we were in the kitchen, just the two us... She asked me"

"Noname what will u do if you love a guy and he happens to love other girl?
I was like.. Who? OMG H love other girl? how did u find out?
she went''' because he spends most of time with her, I always see them together...
I told her .... Mhhhh u know sweetheart we shouldnt love those who dont love us.... so may be u should forget about this guy!!!
I was curious: do u really love this guy? is he cute?
She said yes: he has brown eyes but he is shorter than me" but Noname I like him because he is different... he is not kind of boy who fights or who talks about WWE and Jonsina all the time...plus he is clever in the class...

I was left speechless but me and her agreed that she will forget about this guy....

Kids now days knows everything...

my first secret crash was when I was 13 or 14 yrs but it remained a secret
 
mbona umekasirika shost, au wako bado mdogo sana? kweli kuna wakati natamani kujua when I can talk to my kids about sex lakini sina nguvu hapo

hapana dear, 6yrs, 4yrs....sasa akiwa 6 unashindwa kuongea/uliza ktu akifikia umri wenyewe ndio itakuwaje? na hili swali angemuuliza kwanza mtoto alimaanisha nini then ndio na sie tujue pa kuanzia, nimekosa cha kumsaidia kama mwenyewe hajisaidii.
 
Watoto wa siku hizi wanaalibiwa sana na huu utandawazi.
ila huyu wa std2!! Mh! bila shaka anamrithi baba yake.
 
Mimi nakumbuka nilikuwa nammega babysitter wangu na hii ilikuwa kabla sijaanza kindergarten....so you do the math....watoto bongo wanaanza chekechea wakiwa na umri gani. By darasa la kwanza tayari nilikuwa na kauzoefu.....
 
hapana dear, 6yrs, 4yrs....sasa akiwa 6 unashindwa kuongea/uliza ktu akifikia umri wenyewe ndio itakuwaje? na hili swali angemuuliza kwanza mtoto alimaanisha nini then ndio na sie tujue pa kuanzia, nimekosa cha kumsaidia kama mwenyewe hajisaidii.
lazima uelewe kuwa kuna vitu vingine mzazi ni ngumu kumuuliza mtoto ndio maana nimeanzia hapa. mbona umekuwa mkali sana kwangu leo kuna tatizo gani? vizuri ukanieleza kuliko kujibu namna hiyo hapa tunajadili tu na nina uhakika kuna wengine wana tatizo kama hilo
 
Mimi nakumbuka nilikuwa nammega babysitter wangu na hii ilikuwa kabla sijaanza kindergarten....so you do the math....watoto bongo wanaanza chekechea wakiwa na umri gani. By darasa la kwanza tayari nilikuwa na kauzoefu.....

NN una mambo wewe but now nafikiri umetulia sana kwenye ndoa yako kama tayari na wala haya mambo ya kurukiana si sana umetulia na wako kipenzi ila mutoto wako akiridhi usilaumu...
 
Back
Top Bottom