Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Thread was deleted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, wana ujasiri wakipumbavuKama wee huwezi wengine wanaweza ndio maana binadam wote sio sawa
Wewe mwenyewe thug🤣JIna lenyewe Kuku
Wewe unaishi nchi gani watu wanaiba makanisani na misikitini sebuse hizi za TRA.........Nauliza watu wanapata wapi huu ujasiri?
Je, ni kutokuwa na hofu ya mungu?
(but, viongozi huwa wanaapa kwa Qur'an/biblia)
Kichekesho zaidi ni pale hawachukuliwi hatua zozote hata wakibainika
M/mungu yupo na anawaona, ibeni lakini mwisho wa siku mtaadhibiwa na mamlaka yake
Ramadhaan kareem
Ajabu sanaWewe unaishi nchi gani watu wanaiba makanisani na misikitini sebuse hizi za TRA.........
Kwa nini unaanzia kwenye mitihani usianzie kuwa walianza kuiba nyumbani vitu vidogo kama sukari. Au ukichukua kitu nyumbani umedokoa na hujaiba?Hawa wezi wa mali za umma hawakuanzia hapo tu, walianza kuiba mitihani wafaulu wapate ajira. Ni ishara tosha elimu zao walizipata kwa staili hii hii ya wizi anzia mitihani ya elimu ya msingi, sekondari na vyuo, wame advance kuiba tangu wakiwa elimu ya chini huu ndio ukweli. Huwezi kuwa gwiji wa kukwapua mali za umma kama huna uzoefu tangu chini kwenye msingi
😡Kwa nini unaanzia kwenye mitihani usianzie kuwa walianza kuiba nyumbani vitu vidogo kama sukari. Au ukichukua kitu nyumbani umedokoa na hujaiba?
Mahospitali hayana dawa, lakini majitu yanavyo kwapua pesa bila huruma
Baadhikwani hosp dawa zinagawiwa bure??