Hivi watu wanapataje Uprofesa? Ndiyo maana Musukuma anawadharau sana

Hivi watu wanapataje Uprofesa? Ndiyo maana Musukuma anawadharau sana

Mkungunero

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2023
Posts
401
Reaction score
569
Hivi Profesa mzima unasema eti kati ya watu 100 ni wat 5 tu wanaoajiriwa na serikali. Haya yalipaswa kuongewa kweli na profesa mwenye kujua kufanya utafiti japo tafiti zetu ni ungo?

Sasa kama unaweza kudeclare hivyo kwanini mnawakamata machanguduo wakati mnadeclare kuwa serikali imeelemewa hakuna ajira tena. Kwanini msiwapishe wenye creative minds kwa ajiri ya vijana Hawa.

Bado rais amemuacha ofisi tu mtu ameonesha failures hadharani kwamba hawezi chochote na Hana msaada wowote kwa watu zaidi ya kukaa offisini tu.

Mwingine ni prof mmoja Badala ya kideal na elimu mbovu inavyoharibiwa na private schools yeye anasimamisha walimu wakuu kisa watoto wanecheza nyimbo ya Zuchu. Hivi kwi huu ndo uprofesa?

Private school are enslaving teachers wananyanyasa sana hawana mikataba, graduates analipwa laki mbili kwa mwezi, wanaingia kazini saa kumi na mbili asubuhi wanatoka saa tatu usiku, wananyanganwa simu nk.
 
Huyo Mkumbo kazungumza ukweli ila tatizo hana suluhisho la kueleweka kuhusu serikali kutoa ajira nzuri na bora.
 
"Hivi watu wanapataje uprofessor jamani. No matter msukuma anawadharau sana"

Ungeandika "No wonder msukuma.........." sio No Matter Msukuma.....

Tuendelee na mada Sasa.
 

"Hivi watu wanapataje uprofessor jamani. No matter msukuma anawadharau sana"


Ungeandika "No wonder msukuma.........." sio No Matter Msukuma.....

Tuendelee na mada Sasa.
Siyo uprofessor, bali uprofesa.

Sasa tuendelee na mada.
 
Huyo Mkumbo kazungumza ukweli ila tatizo hana suluhisho la kueleweka kuhusu serikali kutoa ajira nzuri na bora.
Kwa takwimu zipi. Mbona hajaambaranisha na descriptive statistics yoyote kusapoti argument yoyote. Je mwingine angesema watu 2 kati ya 100. Shida yule ni prof hapaswi kuongea kama layman. Ndo mana schorlary Huwa Huwa tunaandika "according to..........."
 
Back
Top Bottom