Hivi watumishi wa Umma mliopo Njombe huwa mnaenda kazini kila siku?

Hivi watumishi wa Umma mliopo Njombe huwa mnaenda kazini kila siku?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Sujui niwekeje swali.

Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.

IMG_0146.jpeg

Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.

IMG_0147.jpeg


Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?
 
Sujui niwekeje swali.

Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.
Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.

Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?
Unaijua vizuri bange ya Njombe?
 
Sujui niwekeje swali.

Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.
Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.

Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?
Mazoea mkuu, huku nguvu za kiume hatuna tatizo
 
Niliwah enda njombe pale rum nlipokuwa Malala blankets zilikuwa kama zimemwagiwa maji ya baridi
 
Sujui niwekeje swali.

Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.

View attachment 3114822
Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.

View attachment 3114823

Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?
Ungeweza kuizungumzia Njombe bila kuitaja Dar🤣(Natania)
 
Back
Top Bottom