Hivi watumishi wa Umma mliopo Njombe huwa mnaenda kazini kila siku?

Hivi watumishi wa Umma mliopo Njombe huwa mnaenda kazini kila siku?

Sujui niwekeje swali.

Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.

View attachment 3114822
Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.

View attachment 3114823

Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?
13 unashangaa mkuu? Subiri next year kuanzia May hadi Agosti mzigo unasoma 3 au 7
 
Watu wa dar wametepeta sana Aise Leo nimepita sehemu asubuhi wakati nafanya Jogging nakuta wadau wamevaa masweta huku wanalalamika Baridi muda huo mimi Navuja jasho balaaa
 
Kuna pesa huko sio poa..nina ndugu yangu ni mtumishi wa umma huko hataki kusikia habari za uhamisho.
 
Back
Top Bottom