Why not?Sujui niwekeje swali.
Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.
View attachment 3114822
Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.
View attachment 3114823
Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?
Jana njombe kuna kioande kilikua barafu
Unaijua vizuri bange ya Njombe?Sujui niwekeje swali.
Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.
Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.
Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?
Mazoea mkuu, huku nguvu za kiume hatuna tatizoSujui niwekeje swali.
Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.
Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.
Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?
Huku hakuna Cha soda baridi au bia baridi,we ukiagiza tuu ni baridi kwenda mbele, fridges ni mapamboHahaa hamna bwana.
Sema dah, 13 hali sio nzuri ikifika miezi ya June-July si mnachezea single digits.
Friji unatumia uko mkuu?
Hii ni kweli kwa 45%Huku hakuna Cha soda baridi au bia baridi,we ukiagiza tuu ni baridi kwenda mbele, fridges ni mapambo
Ungeweza kuizungumzia Njombe bila kuitaja Dar🤣(Natania)Sujui niwekeje swali.
Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.
View attachment 3114822
Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.
View attachment 3114823
Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?