Mie hapaa!!Huwezi kuamini kuna watu wanapenda sana hiyo hali ya hewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njombe ni noma mpaka mbwa wanaota moto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatari Sana ndio maana ukimwi unasumbua Sana ni mwendo moto mwanzo mwisho[emoji205]
13 unashangaa mkuu? Subiri next year kuanzia May hadi Agosti mzigo unasoma 3 au 7Sujui niwekeje swali.
Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.
View attachment 3114822
Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.
View attachment 3114823
Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?
Nani aliekwambia wanaoga ?Sujui niwekeje swali.
Leo Dar mvua kidogo tu, joto limeshuka 26 degrees watu wanatembea na masweta kama wabibi.
View attachment 3114822
Sasa nikaona niangalie na uko Njombe, nakutana na 13 degrees.
View attachment 3114823
Yaani inakuaje kuaje. Asubuhi mtu unaamka, unaoga na kuwahi kazini au mnatumia ujanja gani kupambana na hii hali?