T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Hii tabia ya wateja wenye nyodo hasa niliona mgahawani. Nilitoka kwenda kula, couple moja imekaa pembeni yangu.Kuna wateja ni kero,
Wengi wanaolalamika hapa hawajawai kuhudumia wateja,... angalia wadada wa migahawani, bar au grocery wanavyoteseka na wateja, mtu na kielfu tano chake anajiona mfalme full kufoka na kumpelekesha dada wa watu,....ukishakuwa na experience ya kutosha kwenye biashara waweza mtambua mteja kwa muonekano wake tu anavyoingia dukani,....wateja wa bongo hela hawana kutwa kutanga tanga kwenye biashara za watu kuleta majaribu, akuulize bei aseme una bei sana kwa fulani tunanunua hivi, utamwambia kanunue huko, kesho atarudi tena atakwambia nipe tu hivyo hivyo japo una bei weeeh!, Mara alete mazoea ya kishamba shamba hasa wanawake na vinjaa njaa vyao, mara mteja aanze kukupa darasa la biashara unayoifahamu kwa miaka nenda rudi, hapa ungefanya vile hapa ungeweka hiki,...kwa ufupi kwenye biashara yangu sibembelezi mteja NEVER,....anapotoa kihela chake anaona amekupa msaada saaaana, kana kwamba yeye hakuwa na shida na bidhaa aliyochukua....wateja wa kibongo ni pasua kichwa tu,..... kwenye biashara yangu unakuta utaratibu na wewe mteja fuata utaratibu, ukiona sieleweki baada ya kulalamika nenda kwingine, ukishindwa huko waweza itumia hiyo kama fursa ya wewe kupiga hela kwa kufungua biashara yako yenye utaratibu mzuri uonavyo wewe,..hutaki sikukuita uje, waweza kwenda kwingine....all in all, good customer care ni number one priority kwangu,..
Wakaagiza chakula, kilipofika mwanaume akaagiza kitu kimoja. Mhudumu akafikisha mwanamke naye akaagiza soda, soda ikaletwa mwanamke akaagiza tena sijui nini. Mhudumu akaleta tena mwanaume akaagiza maji. Hivyo vinaagizwa kimojakimoja. Nikawaangalia nikaona hawajawahi fanya biashara, hawawezi jiongeza kwamba wanamchosha mhudumu na wanatengeneza foleni ya huduma. Hapo akilini wana akili maandazi za "mteja ni Mflame".