Hivi wenzangu mnawezaje kukabili maisha?

Hivi wenzangu mnawezaje kukabili maisha?

Safi sana, nimependa jinsi ulivyo concerned na maisha. Sio wale wanaochukulia kama kombolela mtu abutue waokolewe. Ule ni ufala.

Ushauri wangu ni hivi. Stop worrying about life. Stop worrying about your life for a 100 percent. Wasiwasi utakufanya upate msongo wa mawazo na hiyo ni L.
Why worrying? Wapi umesikia Dar es salaam au Mwanza mtu amekufa kwa kukosa chakula au sehemu ya kujificha mvua? Hakuna.
Kitu muhimu usiishi kufurahisha macho ya watu. Yaani usiishi maisha ya kuigiza. Kuwa real. Ishi maisha yako halisi wala usiogope kudharauliwa. Kwanza kudharauliwa maisha ya kitanzania ni advantage kubwa sana. If no body count on you then you have all the time for yourself.
Achana na boyfriend. Mapenzi always ni scam,ask me. Hiyo ni topic nyingine lakini kwa kifupi siku hizi kila mtu yuko kwenye mapenzi kwa ajili ya vitu zaidi kuliko unavyofikiria wewe.

Hapo ulipo sasa ni mahali sahihi kabisa. Ulivyoandika nafikiri bado wewe ni kijana mbichi. Usikimbilie kupata mimba, it's a trap, kwanza subiri kidogo. Fanya unachofanya, jaribu kujiongeza mdogo mdogo itajipa tu. Kitu cha kufanya, hata ukipata coin unaitunza ikutane na nyingine. Ubahili ndio siri kubwa. Unatakiwa usicheke na nyani utavuna mabua.
Sijui nilikuwa nataka kusema nini, lakini nafikiri umenipata kifuchu
 
Habarini!

Mimi nina swali hivi wenzangu mnawezaje kukabili maisha. Najiskia kuchoka sana. Everyday I must worry about something. Yani matatizo hayaishi. Is this life? Being in constant worry and anxiety? Yani nawaza vitu chungu nzima. How do you handle life? Especially alone?

I tried calling my boyfriend but it seems we are both immature and I end up feeling like I have no one to rely on. Is life just an endless state of worry and thinking? I wish I had a partner I could lie down next to and pour out my heart .someone who could meet me halfway or pick up the slack when I feel inadequate.

Nilikua nawashangaa watu ambao wanaingia mitandaoni wakilia kwamba wapo alone, nikawa najiuliza ni genye ndo linawaliza 🤣 kumbe bhana unaweza ukawa na matatizo huna wakumuhadithia.

Adulting is a scam. I’m so tired I wish I could sleep forever and never wake up.
Muinulie Mungu moyo wa IBADA
 
Pole sana we ukulwi vizuri iyo ndo shida matatizo ndio yapo hatukatai ila sio kila muda uyawazie, somaga biblia, pia tafuta kitabu cha Jesus always
 
Up and downs ni kawaida! Na vijana wa zama hizi mnapekwa kasi ya ajabu na mitandao; mitandao I kuna uongo mwingi mpaka imekuwa kero ya dunia.
Fanya mazoezi, kunywa maji utakuwa mwepesi
 
The secret of happiness is low expectations

Ishi humo

Hakiikisha furaha yako haitegemei mtu wa nje, mtu wa nje awe ni second
 
Habarini!

Mimi nina swali hivi wenzangu mnawezaje kukabili maisha. Najiskia kuchoka sana. Everyday I must worry about something. Yani matatizo hayaishi. Is this life? Being in constant worry and anxiety? Yani nawaza vitu chungu nzima. How do you handle life? Especially alone?

I tried calling my boyfriend but it seems we are both immature and I end up feeling like I have no one to rely on. Is life just an endless state of worry and thinking? I wish I had a partner I could lie down next to and pour out my heart .someone who could meet me halfway or pick up the slack when I feel inadequate.

Nilikua nawashangaa watu ambao wanaingia mitandaoni wakilia kwamba wapo alone, nikawa najiuliza ni genye ndo linawaliza 🤣 kumbe bhana unaweza ukawa na matatizo huna wakumuhadithia.

Adulting is a scam. I’m so tired I wish I could sleep forever and never wake up.
Yani Wadada wa 2000 matatizo sasa hela ukose wewe lawama upeleke kwa boyfriend wako...Pambana na maisha yako bila kulaumu wengine
 
Nilikua nawashangaa watu ambao wanaingia mitandaoni wakilia kwamba wapo alone, nikawa najiuliza ni genye ndo linawaliza 🤣 kumbe bhana unaweza ukawa na matatizo huna wakumuhadithia.

Ulikuja duniani ukiwa uchi tena alone, hukuzaliwa pamoja na boyfriend wala girlfriend wako...

Maisha ni mtu mmoja kupambana na kutoboa kivyake, na mtu huyu mmoja akishapevuka na kuwa tayari ataungana na mtu mwingine ambaye naye kapambana kivyake...

Maisha yanapaswa kuwa muunganiko wa wapambanaji...

Achana na habari za kutafuta mtu wa kumlilia na kumueleza shida au matatizo unayoyakabili, ni UDHAIFU huo...
 
Are you really a Ph.D holder? Among the things that worry me is I haven’t even come up with a topic for my dissertation yet. What do you hold a Ph.D in?
Rudi hapa.

 
Rudi hapa.

So you are trying to discredit where I am now in my life by bringing up a post from years ago? What makes you think I’m still the same person? Don’t you believe people grow and evolve? What are you really driving at? Please I have enough on my plate I don’t need to “rudi” anywhere. Usinirudishe nyuma! I respected you kumbe na wewe ni fa.la tu
 
Ulikuja duniani ukiwa uchi tena alone, hukuzaliwa na pamoja na boyfriend wala girlfriend wako...

Maisha ni mtu mmoja kupambana na kutoboa kivyake, na mtu huyu mmoja akishapevuka na kuwa tayati ataungana na mtu mwingine ambaye naye kapambana kivyake...

Maisha yanapaswa kuwa muunganiko wa wapambanaji...

Achana na habari za kutafuta mtu wa kumlilia na kumueleza shida au matatizo unayoyakabili, ni UDHAIFU huo...
Ahsante! Umenifungua macho na akili.
 
Umeandika English simple and clear.
Ila tukirudi kwenye key point naona unasumbuliwa na upweke/loneliness.
Ebu tafuta kitu cha kukufanya uwe busy baada ya muda wa kazi, ama ukiwa home tafuta kitu that can keep you busy.
 
Usicho kifahamu nikwamba upo kwenye illussion kila kitu kinacho kutokea au hali ulionayo kwasasa nimatokeo makubwa na sahihi ya yale unayo yawaza.
Please badili mfumo wa mawazo yako.
 
Binti acha matusi, sio kila comment ni lazima u' reply.

Sometimes I'm going through the same thing and I don't have anyone to share it with.

I always go and relax in bars where there's music, bands, and that's how I manage to get out of these terrifying situations.

Try to do something different from your daily routine,

like visiting a rehab centre, relaxing with friends, etc.

and you have to understand that this is a life journey process that requires commitment and positive thinking,

avoid negative thoughts in life,

you are worthy of lasting happiness.
 
NASISITIZA TENA BADIRI FIKRA ZAKO.PESA,MAGARI,MWANAUME MZURI SANA NA KADH:HIVO VYOTE VIPO N'JE NAWEWE NA MTEGEMEA CHAJIRANI AU NDUGUYE HUFA MASKINI.
 
Huyo Boifrendi wako bado Hamjakulana ukamkinai??


 
Watu wanaishi kwa matumaini hamna cha maana, maisha halisi ni yale ya porini.
 
Kuna kitu inaitwa The Feedback Loop from Hell. The Feedback Loop from Hell has become a borderline epidemic, making many of us overly stressed, overly neurotic, and overly self-loathing. Pole sana
Mkuu, tafadhali ongeza nyama kidogo hapo, Feedback loop from hell ni kitu gani hicho?
 
Umeandika English simple and clear.
Ila tukirudi kwenye key point naona unasumbuliwa na upweke/loneliness.
Ebu tafuta kitu cha kukufanya uwe busy baada ya muda wa kazi, ama ukiwa home tafuta kitu that can keep you busy.
Sidhani kama anajua kinachomsumbua.
Upweke, mapenzi, pesa au ni life lake tu halielewi elewi!! Anaona mapichapicha au anajiona hana faida ya kuishi, au anaona watu hawampi ile thamani/attention anayotegemewa kupewa....

Labda akijua shida yake kikamilifu atajua asolve vipi.
 
Back
Top Bottom