Ubahili ni kipaji ...wadau wenye elimu kidogo Ya kutunza pesa ebu tuelimishane yaaani Mimi kwakweli nimeshindwa kabisa yaaani utanipa laki sasa hivi lazima nitaitumia tu yaani lazima litatokea jambo linahitaji hiyo laki na zaidi yaani sijui inakuwaje kila nikisema hii situmii utasakia mtoto sijui anaumwa yaani ghafla tu
Kwakweli yaaani kuna mtu unakuta mnalipwa sawa wewe ata kiwanja hauna nenda kwake sasa unakuta kashajenga upande bado upande nyumba iishe na wote kazi moja mshahara mmoja kima cha chiniUbahili ni kipaji ...
Kama huna basi endelea kuspend ,lakin uwe unajuaa kuzitafuta
Tafuta kitabu kinaitwa maisha na malengo..bila malengo hata upate milion utaipiga chini yotewadau wenye elimu kidogo Ya kutunza pesa ebu tuelimishane yaaani Mimi kwakweli nimeshindwa kabisa yaaani utanipa laki sasa hivi lazima nitaitumia tu yaani lazima litatokea jambo linahitaji hiyo laki na zaidi yaani sijui inakuwaje kila nikisema hii situmii utasakia mtoto sijui anaumwa yaani ghafla tu
Kuna mawiliwadau wenye elimu kidogo Ya kutunza pesa ebu tuelimishane yaaani Mimi kwakweli nimeshindwa kabisa yaaani utanipa laki sasa hivi lazima nitaitumia tu yaani lazima litatokea jambo linahitaji hiyo laki na zaidi yaani sijui inakuwaje kila nikisema hii situmii utasakia mtoto sijui anaumwa yaani ghafla tu
Tafuta kitabu kinaitwa maisha no malengo..bila malengo hata upate milion utaipiga chini yote
BTW je unatoa sadaka kweli? Au zaka? Usipofanya hivyo pesa yoyote utakayopata itapata dharura.. Yaani pesa yako inakuwa inaingia kwenye mikono iliyotoboka
Hahah! Mpe mama/baba mkwe akutunziewadau wenye elimu kidogo Ya kutunza pesa ebu tuelimishane yaaani Mimi kwakweli nimeshindwa kabisa yaaani utanipa laki sasa hivi lazima nitaitumia tu yaani lazima litatokea jambo linahitaji hiyo laki na zaidi yaani sijui inakuwaje kila nikisema hii situmii utasakia mtoto sijui anaumwa yaani ghafla tu