Hivi weupe ndio urembo au?

Kuna warembo fulani mapacha weusi nilikutana nao uhamiaji daah. Aseeh ni wazuri ni weusi wa kun'gaa halafu wazuri hadi nilisahau kilichonipeleka.

Watu weusi wakiwa wwazuri wanakuaga wazuri haswa.
Hahaa dah hadi ukasahau kilichokupeleka ukaanza kuwafuata wanakoenda[emoji13] [emoji13]
 
Kama unataka kuelewa vizuri ingia kwenye function kisha wanaume 4 waingie na kisha wafatie warembo 3 wenye hiyo rangi inayoelekea kwenye uzungu koko na badae waingie wanawake 3 weusi.
Kuwe na wanaume 4, ila Wanawake 6. Katika kuchagua warembo hapo utaona kimbembe.

Kisha wale wakaka /wanaume waruhusiwe kubambia kila mtu achukue mrembo anaempenda utapata majibu bila chengachenga.

Kisha utarudisha mrejesho mubashara kabisa.
 
Hahaa dah hadi ukasahau kilichokupeleka ukaanza kuwafuata wanakoenda[emoji13] [emoji13]
Huko kuwafuata umeongezea wewe.

Ni wewe nini na pacha wako. Nishawishi basi
 
Weupe ni rangi kama zilivyo rangi nyingine na wala sio urembo
 
Huko kuwafuata umeongezea wewe.

Ni wewe nini na pacha wako. Nishawishi basi
Mpaka ukajua kama mapacha ni wazi uliwafuata teh.. mimi huo uzuri niutoe wapi wewe kama unanikubali nikubali kama nilivyo tu
 
Mpaka ukajua kama mapacha ni wazi uliwafuata teh.. mimi huo uzuri niutoe wapi wewe kama unanikubali nikubali kama nilivyo tu
Basi deka hata kikorea basi kama umeshindwa kunipa moyo
 
Kujikwatua/ kitaulo/ kujipara..

Kitu kikishakuwa na majina mengi huwa Mara nyingi ni kibaya mno...
 
Hapana,hawa ni vijana wa kwanza 1985 Na kuendelea.utakuta baba yake anaitwa John Chenge,yeye akiitwa Frank,basi ataishia kuandika Frank John lakini kiuhalisia hakuna Mtanzania peyote mwenyewe majina tupu ya kigeni,kwani hakuna ukoo wa Kitanzania ulio Na jina la kizungu.


Tukirudi kwenye mada Sasa;
Waafrika kushabikia weupe kama ndo urembo ni madhara ya mfumo wa mtu mweupe aliouweka kwenye mawazo ya mwafrika kua yeye mwafrika ni mtu duni Na yeye mzungu "mweupe" ni mtu Bora kabisa.

Na ni ushamba pia kwa wanaume wa Leo kuweka kigezo cha weupe kama urembo Na ushamba zaidi kwa mwanamke kutaka awe mweupe kwanza ndo awe mrembo.
 
Naona hiyo picha ya kwanza alikuwa depo kisha ya pili ndiyo baada ya kumaliza depo na kupumzika ss ameng'ara
 
Wataalum wa faundations kazi kwenu,
 
Duh hapo kwenye majina. Kuna jamaa alikua classmate wangu chuo, ni mpare lakini majina yake sasa...yote matatu ni ya kigeni, kuna siku prof. Alibidi aulize kwani we ni mdanishi...
 
 

Attachments

  • IMG-20170702-WA0010.jpg
    33.2 KB · Views: 35
Huna jina la ukoo kama (Maganga, Mwakipesile, Ngonyani etc)!?
Ishu ya jina la ukoo kuna changamoto zake hasa sehemu za vijijini ambapo watu wa ukoo mmoja mnajikusanya. Unaweza kuta kijiji kizima kina Ngonyani watupu kwa hiyo kuepuka saresare ya majina mtu anaamua kutumia jina la kwanza la baba
 
Ishu ya jina la ukoo kuna changamoto zake hasa sehemu za vijijini ambapo watu wa ukoo mmoja mnajikusanya. Unaweza kuta kijiji kizima kina Ngonyani watupu kwa hiyo kuepuka saresare ya majina mtu anaamua kutumia jina la kwanza la baba
Tumia matatu hapo probability ya majina saresare inakua ndogo mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…