Hivi weupe ndio urembo au?

Mtu wa namna hiyo hana tofauti na anayejichubua sababu nae hataki afahamike kama ni mweusi. Ni yale yale ya kukataa ngozi, nywele, majina kifupi utumwa wa fikra
[emoji2] [emoji2] [emoji10] [emoji10]
 
Waarabu na mhindi wenyewe wanajichubua tu. Tena mwarabu ukimwambia u look like white anafurahi sana.


Ni kweli....nilionaga documentary moja hivi kwenye BBC wakionyesha waarab na wahindi wanavyojichubua kutaka kufanana na wazungu.
 
Hata hivyo uafrika una UDUNI na UDHAIFU mkubwa kulinganisha na uzungu.

Sisi tupo tupo tu, na uduni, ujinga na udhaifu wetu ulianza kuanzia kwa mababu zetu

Ninathubutu kusema walikuwa hovyo na goi goi kabisa.

Jamii kuwa dominated na jamii nyingine kiutamaduni, kiuchumi na kiteknolojia ni ushahidi kuwa jamii hiyo ni Dhaifu na ya hovyo.

Sisi watu weusi hatuna ubabe wowote kwa watu weupe hasa wazungu.


Hata kama inauma ndivyo ilivyo.


Wabillah Tawfiq.
 
Chungu lakin dahawa
 
Kwetu usukumani weupe kwa mwanamke ni dili hata dau linapanda.

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli....nilionaga documentary moja hivi kwenye BBC wakionyesha waarab na wahindi wanavyojichubua kutaka kufanana na wazungu.

Acha tu wazungu wenyewe nikiwa angalia huo weupe wao naona ni kama wako na abnormalities sijui watu wanaupendea nini huo weupe. Kwanza wanazeeka haraka sana
 
Acha tu wazungu wenyewe nikiwa angalia huo weupe wao naona ni kama wako na abnormalities sijui watu wanaupendea nini huo weupe. Kwanza wanazeeka haraka sana


Wenzako wasijua hivyo wanaulilia huo weupe, mpaka kufanya madada zetu kujichubua na kuota ndevu za kujitakia.
 
[emoji3][emoji3]

brain is the beautiful part of the body.
 
Kwa usawa huu watakuwa na mabaka kama kenge, Subiri tu

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…