Hivi weupe ndio urembo au?

Hivi weupe ndio urembo au?

Ni kweli....nilionaga documentary moja hivi kwenye BBC wakionyesha waarab na wahindi wanavyojichubua kutaka kufanana na wazungu.
True kuna cream ya 'fair and lovely' yani ni maarufu mnoo
Ukiangalia tu TV stations za wa'Asia utaona wanazitangaza hizi whitening creams kama kitu cha kawaida kabisaa.

wanaamini ukififia rangi una maisha magumu unakaa juani cz of hard labour na vitu kama hivyo.
 
Mnh mi sitaki kua mnafiki asili yangu ni mweusi lakini saivi ni maji ya kunde yaan sijawai vutiwa na weusi. Natumia mafuta yanayoning'arisha nakua mweupe flani ivi..hata nikipaka kitu usoni kinakaa.

Maswala ya kuforce kujikubali ni nimeshindwa. Alafu nayaamini sana macho yangu kujifariji black is beauty wakati unaona whites wanavyovutia HAPANA AISEE.

Jinga sasa wewe [emoji28][emoji28][emoji28],utakuwa na undugu na Ray kigosi
 
Mnh mi sitaki kua mnafiki asili yangu ni mweusi lakini saivi ni maji ya kunde yaan sijawai vutiwa na weusi. Natumia mafuta yanayoning'arisha nakua mweupe flani ivi..hata nikipaka kitu usoni kinakaa.

Maswala ya kuforce kujikubali ni nimeshindwa. Alafu nayaamini sana macho yangu kujifariji black is beauty wakati unaona whites wanavyovutia HAPANA AISEE.
Unaumwa akili,ugonjwa unaitwa 'kujikataa'(self hate) wengine hata hujiua.Nini kinachovutia kwa wazungu? Umewahi kuona ngozi za wazungu zinavyoathirika.Ukiona vipi oga moto au tindikali uwe kama wao.

Wanawake wa kiafrika wanaupungufu wa akili ndio maana wanafanya mambo yasio ingia akilini.Mbona wanaume hatujichubui hovyo.Wanaume wakosa akili ni wakongo tu.
 
Habari zetu warembo na watanashati.

Hii tabia imeota mizizi sasa sijui kwa nini wanawake tunakuwa hivi...tena siku hizi vipodozi vya kubadilisha rangi vinatangazwa hadharani kabisa afadhali siku za nyuma watu walikuwa wanajichubua kwa kujificha.

Hivi ni kweli hivi vipodozi vya kubadilisha ngozi havina madhara kiafya? Kama vina madhara mamlaka zinazohusika zimeshindwa kuwashughulikia wanaofanya biashara hizi? Kwa kweli nashindwa kuelewa hivi huyu dada ukimuangalia picha yake ya kushoto na kulia kuna tofauti yoyote?

Ipo inayovutia kuliko nyingine? Mimi naona mtu ni yule yule tu nothing more nothing less. Naombeni maoni yenu wadau
View attachment 526690
IMG-20201011-WA0045.jpg
 
Unaumwa akili,ugonjwa unaitwa 'kujikataa'(self hate) wengine hata hujiua.Nini kinachovutia kwa wazungu? Umewahi kuona ngozi za wazungu zinavyoathirika.Ukiona vipi oga moto au tindikali uwe kama wao.

Wanawake wa kiafrika wanaupungufu wa akili ndio maana wanafanya mambo yasio ingia akilini.Mbona wanaume hatujichubui hovyo.Wanaume wakosa akili ni wakongo tu.
Msamehe mkuu...akikua ataacha
 
Mnh mi sitaki kua mnafiki asili yangu ni mweusi lakini saivi ni maji ya kunde yaan sijawai vutiwa na weusi. Natumia mafuta yanayoning'arisha nakua mweupe flani ivi..hata nikipaka kitu usoni kinakaa.

Maswala ya kuforce kujikubali ni nimeshindwa. Alafu nayaamini sana macho yangu kujifariji black is beauty wakati unaona whites wanavyovutia HAPANA AISEE.
Siwezi kukushangaa...mimi mwenyewe nikiona mdada ana shepu ya maana namtamani, natamani ningekuwa mimi, au ana guu la bia nammezea mate hayo mambo ya kujikubali jinsi nilivyo nimeshindwa ila hapa kwenye rangi hapana...sijawahi kutamani kuwa mweupe, yaani sijawahi kujiona nimepungukiwa kwa kuwa eti ni mweusi
 
Ni hali ya kusikitisha mana sikuhizi haiitwi kujichubua bali 'kujing'arisha'!!..

Wkt makopo kbs yameandikwa 'whitening cream'!na vinauzwa wazi wazii hadi mikoani wanatuma hehe[emoji28]
[emoji16][emoji16][emoji16] eti hadi mkoani wanatuma
 
Siwezi kukushangaa...mimi mwenyewe nikiona mdada ana shepu ya maana namtamani, natamani ningekuwa mimi, au ana guu la bia nammezea mate hayo mambo ya kujikubali jinsi nilivyo nimeshindwa ila hapa kwenye rangi hapana...sijawahi kutamani kuwa mweupe, yaani sijawahi kujiona nimepungukiwa kwa kuwa eti ni mweusi
Mimi siutamani weupe..Ila natamani Sana Yumbo flat. Naumbo zuri Sana shida Ni tumbo TU..nikiwaona wadada Instagram...nawatamani sana.
 
Habari zetu warembo na watanashati.

Hii tabia imeota mizizi sasa sijui kwa nini wanawake tunakuwa hivi...tena siku hizi vipodozi vya kubadilisha rangi vinatangazwa hadharani kabisa afadhali siku za nyuma watu walikuwa wanajichubua kwa kujificha.

Hivi ni kweli hivi vipodozi vya kubadilisha ngozi havina madhara kiafya? Kama vina madhara mamlaka zinazohusika zimeshindwa kuwashughulikia wanaofanya biashara hizi? Kwa kweli nashindwa kuelewa hivi huyu dada ukimuangalia picha yake ya kushoto na kulia kuna tofauti yoyote?

Ipo inayovutia kuliko nyingine? Mimi naona mtu ni yule yule tu nothing more nothing less. Naombeni maoni yenu wadau
View attachment 526690
Huyo wa kushoto ndo mtamu
 
Back
Top Bottom