Umefoji chuga hatutumie 'l' kwenye 'r' so acha ubwabwaWaarusha na kiswahili chao sasaaaa ahhhaaahaaaaahaaaaaaahaahahhhhahaahhhhaah karibun maji wadauuuuuuView attachment 950537
Usipime bablai hiyo kitu sio ya kireee unaeza ona dunia ipo upside down kwa fasiKama kuna mdau ana "ngusu" afanye mpango aisee.
Huyo ni mduanzi wa Dar kaja kufanya ushamba boy gachuland anaomba ruhusa ya kwenda fiesta.Waarusha na kiswahili chao sasaaaa ahhhaaahaaaaahaaaaaaahaahahhhhahaahhhhaah karibun maji wadauuuuuuView attachment 950537
Nitakutajia nayofahamu kama ifuatavyo:Ongeza na hizi
Fasi ya dwasi
Paringi
Arifu
Soro
Mdwanzi
Hatuteseki ila tunajua wanaume wa mikoani hamuwezi kumaliza siku bila kututaja sisi wazee wa kimoja chalii lakini ndo tunafukua mitaro ya ak8na amber rutty na dada zenu wengine wa kutoka huko mikoani...hatuteseki....
Aiseee 😂😂😂Hatuteseki ila tunajua wanaume wa mikoani hamuwezi kumaliza siku bila kututaja sisi wazee wa kimoja chalii lakini ndo tunafukua mitaro ya ak8na amber rutty na dada zenu wengine wa kutoka huko mikoani...hatuteseki....
Hizo ni wanchi wanchi njaro za arachuga arifu!Yaani ukisikiliza nyimbo zao, utasikia maneno kama;
Unenge
Swagire
Umekaa kile
Kiralu ralu(?)
Maole
- Yaani rejesta siyo rejesta, misimu siyo misimu na misemo siyo misemo.
Siyo Kiingereza wala Kiswahili
Anaejua jamani
Kichugamaican dingile!Sawa, lakini lugha gani? Kiarusha?
Hahah wao wamezoea maneno laini lain mfano:
Hahah mpk hapo ni kwereeee manyokaa hawaelewii unachokiongelea arifu.Usipime bablai hiyo kitu sio ya kireee unaeza ona dunia ipo upside down kwa fasi
Chalii aliyefukua mtaro wa Amber rutty ni mmeru yule.Hatuteseki ila tunajua wanaume wa mikoani hamuwezi kumaliza siku bila kututaja sisi wazee wa kimoja chalii lakini ndo tunafukua mitaro ya ak8na amber rutty na dada zenu wengine wa kutoka huko mikoani...hatuteseki....
Morii kamandaKaka kijanja usikae Kise....Kaa chire yechu yechu fasi ya pori ushanta.
Washamba wa Arusha hao
takataka za arusha hizo