Hivi "Weusi" wanaimba lugha gani wadau kwenye nyimbo zao?

Hivi "Weusi" wanaimba lugha gani wadau kwenye nyimbo zao?

Hamna kitu wanachoimba weusi zaidi ya uharo mtupu...sorry lakn ni ukweli mchungu..watafte tu kaz nyingine ya kufanya
Ila wasafi unaowaskiliza ndio wanaimba cha maana. No wonder Joh makini aliamua kuacha ku rap na kuhamia kwenye mziki wa big G
 
Back
Top Bottom