Hivi wewe mzima kweli wewe?

Hivi wewe mzima kweli wewe?

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Ukienda sokoni kununua nyanya ukapata chache
zilizo oza, haukimbilii kuropoka kwamba nyanya
zote za siku hizi ni mbaya. Lakini ukiumizwa na
mwanaume mmoja tu, tena uliejichagulia
mwenyewe, unatoa azimio kwamba wote ni
wabaya. Hivi mzima kweli wewe?
Lala basi uamke kesho mapema, Manake tushakuchangia nauli urudi Mirembe
 
1475001049114.jpg
 
Ukienda sokoni kununua nyanya ukapata chache
zilizo oza, haukimbilii kuropoka kwamba nyanya
zote za siku hizi ni mbaya. Lakini ukiumizwa na
mwanaume mmoja tu, tena uliejichagulia
mwenyewe, unatoa azimio kwamba wote ni
wabaya. Hivi mzima kweli wewe?
Lala basi uamke kesho mapema, Manake tushakuchangia nauli urudi Mirembe
1475060894062.jpg
upo?
 
Back
Top Bottom