Hivi Yanga bado mna ndoto za ubingwa?

Ni aibu sana utopolo kukaa hapo juu hata kama ni kwa muda.
 
Reactions: BAK
Uto wabahitaji neema ya Mungu kujitafakari na kujipanga kwa next season.
 
Mechi tatu mkononi apo,kwa Simba hii izo ni points tisa uhakika piga uwa.
Na jirani Bundi akikomaa kuwashonea sare ama kupigwa basi ubingwa mapema tu,points 60 zinatosha kabisa kubeba ndoo.
 
Timu ambazo Simba SC inaweza kucheza nazo fainali ya Klabu Bingwa Dunia mwaka huu
1.Man City
2.Chelsea
3.Real Madrid
4.PSG"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ