Hivi Yanga bado mna ndoto za ubingwa?

Hivi Yanga bado mna ndoto za ubingwa?

denooJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
18,509
Reaction score
68,228
Watani zangu nawashauri mechi za ligi zilizobaki mzitumie kwa ajili ya kupunguza vitambi vya hiyo mihogo mnayolishwa kambini.

Halafu ligi ikiisha mtukumbushe tuwagawie magoli kidogo.
FB_IMG_16184204600509616.jpg
 
Ni aibu sana utopolo kukaa hapo juu hata kama ni kwa muda.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Uto wabahitaji neema ya Mungu kujitafakari na kujipanga kwa next season.
 
Mechi tatu mkononi apo,kwa Simba hii izo ni points tisa uhakika piga uwa.
Na jirani Bundi akikomaa kuwashonea sare ama kupigwa basi ubingwa mapema tu,points 60 zinatosha kabisa kubeba ndoo.
 
Timu ambazo Simba SC inaweza kucheza nazo fainali ya Klabu Bingwa Dunia mwaka huu
1.Man City
2.Chelsea
3.Real Madrid
4.PSG"
 
Back
Top Bottom