ukweli kwamba manji harudi ushaoenakana,mwenyewe anapigania business zake,anahamia zambia bado majitu yanakazania ni mwenyekiti wao aendelee kuwaga mipesa
hapa wajanja wanasubiri ule mzigo wa milioni 600 wa caf ufike waseme club ilikuwa na mdeni,wapige wasepe thats why wanatuma watu kufanya vurugu ili ku buy time uchaguzi uchelewe
Yanga kuna majizi...Bilioni ya Sport pesa,Milioni 600 CAF,Milioni 250 bonus ya kuingia makundi kutoka Sport pesa,Azam TV m 200,,Maji ya Afya m100,pesa ya milangoni,jezi hawataki kuuza...Takukuru nasikia harufu ya mijizi