nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
ukweli kwamba manji harudi ushaoenakana,mwenyewe anapigania business zake,anahamia zambia bado majitu yanakazania ni mwenyekiti wao aendelee kuwaga mipesa
hapa wajanja wanasubiri ule mzigo wa milioni 600 wa caf ufike waseme club ilikuwa na mdeni,wapige wasepe thats why wanatuma watu kufanya vurugu ili ku buy time uchaguzi uchelewe
hapa wajanja wanasubiri ule mzigo wa milioni 600 wa caf ufike waseme club ilikuwa na mdeni,wapige wasepe thats why wanatuma watu kufanya vurugu ili ku buy time uchaguzi uchelewe