Hivi Yesu ni mwana wa Maria au Mungu?

Hivi Yesu ni mwana wa Maria au Mungu?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Japo tunaambwa Yesu alizaliwa kwa miujiza, haitwi mwana wa miujiza bali mwana wa Mungu. Waarabu wanamwita mwana wa Mariam. Ukiangalia geneology au mti wa ukoo wake, Yesu ni mwana wa Joseph.

Hii kidoto inachanganya. Je, Yesu ni mwana wa Maria au mwana wa Mungu? Je, utata huu unaweza kutafsirika kama nini? Mosi, uongo?

Pili, kutojua, Tatu, ubabaishaji? Nne, utata? Tano, fumbo?

Hebu wanangu tudadavue pamoja tafadhali.
 
MWANA WA MUNGU ROHONI MAANA MUNGU NI ROHO

ILA KIMWILI UNAWEZA SEMA MWANA WA ADAMU SIO MARIA MAANA MARIA NAE NI MWANA WA ADAMU...

JAPO WENGINE HUMUITA ADAMU WA PILI

SEMA YESU KOTE KOTE ANA FIT TU UNAWEZA MUITA MUNGU SAWA.... MWANA WA MUNGU SAWA.... NABII MKUU SAWA... ADAMU WA PILI SAWA
 
Kasome Sunday school hayo majitu yake kwenye manabii wengi tu jinsi bikira atakavyopata ujauzito kwa uwezo wa roho na Emmanuel kuzaliwa!! Hayo maswali yako ni waislamu wasio mjua Mungu na waongo wamchongo
 
Back
Top Bottom