Elections 2010 Hivi Zanzibar ile ni selikali ya umoja wa kitaifa au ya vyama viwili?

Elections 2010 Hivi Zanzibar ile ni selikali ya umoja wa kitaifa au ya vyama viwili?

Jamani ee tuache ugomvi Maana naona huyo jamaa sijui ni mpemba kanikomalia sana sana, sikiliza ZAnzibar si Taifa, na wala si Nchi,, Nchi inayo Tambulika ni Tanzania kwasababu hta Tanganyika si nchi bali ni kajikitu kalikoungana na Zenj ikaunda Tanzania

Na kuhusu Muungano wa CCM na CUF unasema ni selikali ya umoja huo ni umasikini wa mawazo na ufukara wa Hekima ya kujituma kufikiria my fellows members, kwasababu maana ya selikali ya umoja wa kitaifa ni Ushiriki wa kila mtu kwa njia yeyote ile katika kuunda selikali, so ilitakiwa vyama vyote vipate nafasi, ndo tuite selikali ya uymoja wa Kitaifa,,]

ZANZIBAR NI SELIKALI YA UMOJA WA VYAMA VIWILI,,
 
Jamani ee tuache ugomvi Maana naona huyo jamaa sijui ni mpemba kanikomalia sana sana, sikiliza ZAnzibar si Taifa, na wala si Nchi,, Nchi inayo Tambulika ni Tanzania kwasababu hta Tanganyika si nchi bali ni kajikitu kalikoungana na Zenj ikaunda Tanzania

Na kuhusu Muungano wa CCM na CUF unasema ni selikali ya umoja huo ni umasikini wa mawazo na ufukara wa Hekima ya kujituma kufikiria my fellows members, kwasababu maana ya selikali ya umoja wa kitaifa ni Ushiriki wa kila mtu kwa njia yeyote ile katika kuunda selikali, so ilitakiwa vyama vyote vipate nafasi, ndo tuite selikali ya uymoja wa Kitaifa,,]

ZANZIBAR NI SELIKALI YA UMOJA WA VYAMA VIWILI,,

Mkuu mimi wala si mpemba ila tu najaribu kukuelewesha usichoelewa.
issue ya ni nchi au si nchi hiyo ni mada nyingine tata na sipendi kuingilia kwasasa sababu ndio tulivyo kubaliana.
Unacho hoji wewe ni neno 'umoja wa kitaifa'
Tatizo ni kuwa umekremu kwakuwa kenya na zimbabwe zimeundwa kwa kujumuisha vyama vyote basi unataka na znz iwe hivyo.
Tofauti yao ni kuwa kenya na zimbabwe ziliundwa wakati wa mazingira ya machafuko bila kujali katiba, wakati znz ni katiba ndio inaelekeza huo umoja uweje bila kutaja chama.
isimo vizuri post yangu ya kwanza utaelewa tu.
Katiba ya znz inasema vyama vitakavyo karibiana sana ktk matokeo ndio vitaunda serikali ya pamoja.
Pia iwapo chama fulani kitapata ushindi wa kishindo let say 80% basi kitaunda serikali pekeyake.
Na kwa mantiki hiyo ndio maana ccm na cuf wameunda sababu walikaribiana sana.
Ndio maana nikasema inawezekana nccr na cdm uchaguzi ujao watofautiana ushindi kidogo, basi ndio watakao unda srikali.
Mbona iko simple sana mkuu usichoelewa ni nini
 
Naomba kuuliza hayo makubaliano walisign vyama vyote au vama viwili tuu? kwasababu Jahazxi asilia wanasema wao hawa kuhusishwa katika makubaliano hayo,,
Na katiba hiyo imebadilishwa lini mimi mbona hayo maamuzi yalifanyika hata vuguvugu la katiba halija fufuka na kuwa issue kama ilivyo sasa Tanzania?
 
Naomba kuuliza hayo makubaliano walisign vyama vyote au vama viwili tuu? kwasababu Jahazxi asilia wanasema wao hawa kuhusishwa katika makubaliano hayo,,
Na katiba hiyo imebadilishwa lini mimi mbona hayo maamuzi yalifanyika hata vuguvugu la katiba halija fufuka na kuwa issue kama ilivyo sasa Tanzania?

Mkuu chanzo cha haya yote ni siasa za visasi kati ya ccm na cuf toka enzi hizoooo.siasa zilizotishia amani ya znz zilipelekea vyama hivi kukaa chini na kuja na rasimu ya katiba iliyopelekwa kwa wazanzibari wote na wakaipigia kura kuikubali.
 
Kama Sheini amewapa ubunge wa Bure akina Duni kwa nini hakutoa nafasi Jahazi asilia au Tadea,pale ni vyama viwili ndoa inogile wanataka kuhamishia bara duu
 
Baraza la mawaziri zanzibar kwa mujibu wa mabadiliko ya 10 ya katiba ya zanzibar litaundwa kwa kuzingatia uwiano wa wajumbe wa baraza la wawakilishi wa kila chama. Ktk uchaguzi wa mwaka 2010 cuf ilipata viti 22 na ccm viti 28. Chadema na takataka nyengine hawakupata kiti hata cha udiwani kule zanzibar. Sasa wataingizwa vipi ktk serikali ya umoja wa kitaifa iende kumuakilisha nani?

Mfano wa serikali kama hiyo uko ujerumani. Chama kitakachopata 5% ya kura za ukansela kinaingizwa ktk serikali. Na kama chama kimepata kiti cha bunge lkn hakijapata 5% ya kura za ukansela pia kinajumuishwa ktk serikali.

Ninachotaka kusema hapa ni kua sio kila kinacho jiita chama kua kinaweza kujumuishwa ktk serikali lkn ni lazima kiwe na wafuasi wa kuwawakilisha. Chadema na vyama vyengine jumla vitano kura zao zote kwa ujumla wao zanzibar ni chini ya 1% wataingizwaje ktk gnu?
 
mara baada ya makubaliano ya viongoz wawili wapenda aman na hatimaye kuundwa kwa serikal ya umoja wa kitaifa na wazanzibar kuwa kitu kimoja nilijua watatokea mashetwan rajim wafitin kutaka kuwagawa wazanzibar hebu achana iblis zenu!Mnapenda waendelee kuuana bt mi sishangai sana kwan weng wanalishadidia jambo hili majina yao ni ya POMBE!!
 
Chungu Tamu, usiwe kama umetoka kilabuni wewe,, uwe unaongelea hoja zenye msingi, kwasababu gani? mi nimeuliza kwa haki na Amani kabisaaaa na sija sema itokee vita wala nini, na hata ukiwapa nafasi viongozi wa vyama vingine haita tokea vita na wala mtu hata chinjwa kwa taarifas yako,

Hawa walio kaa kimya wame kaa kimya bila kujua kile kilichotendeka ninini? kwasababu ya ujinga wa sisi watanzania wote ndo tunanyimwa haki..

Hivi wewe Chungu-tamu unajua maana ya Selikali ya umoja wa kitaifa?
 
So nauliza tena, Zanzibar ni selikali ya umoja wa kitaifa au ni seli kali ya umoja wa vyama viwili? bado sija pata jib sahihi
 
Mna chuki binafsi tu ,yaani mmekaa kama malimbukeni hamjawahi kuona serikali za aina hii au vipi? Sasa Chama hakina hata muwakilishi wala mmbunge bado mnataka mshirikishwe ,nyie vipi ? Haya tutafika Maalim ndio huyo kaukwaa Umakamo tena wa kwanza ,Chadema mnagpigania umeya mnakuwa sijui ndo maraisi wa mikoa ,nasikia Slaa anataka kujiuzulu ?
 
Mzee mwenzangu umejibu swali? kwani nani aliye jitambulisha kuwa yeye ni Chadema hapa? katika thread hii sijaona hata mmoja aliye jitambulisha kuwa yeye ni mwana chama fulani. lakini kwa statement yako inaonesha wewe ni mwana CUF, seems Wana CUF wote ni Wapumbavu wa Kufikiri na ndiyo maana kiongoz wao anaitwa jiana lenye mkondo huohuo,,

Kitu kinachoulizwa wewe hujajib unaanzisha chuki zisizo na mbele wala nyuma bila kufikiria wala kunawa uso, nafikiri hata mswaki hujapiga wewe,, nenda kanawe uso na kusugua meno kisha uanze upya kujib thread hii,, imeenda shule na imewekwa na watu wanaojitambua Tanzania kwasababu wewe hujitambui ndo maana ukajikurupukia na kuanza kujib vitu ambavyo havitakiwi..

Nimeuliza hivi ZANZIBAR NI SELIKALI YA UMOJA WA KITAIFA AU UMOJA WA VYAMA VIWILI? NAOMBA UFAFANUZI WA KUTOSHA
 
Mna chuki binafsi tu ,yaani mmekaa kama malimbukeni hamjawahi kuona serikali za aina hii au vipi? Sasa Chama hakina hata muwakilishi wala mmbunge bado mnataka mshirikishwe ,nyie vipi ? Haya tutafika Maalim ndio huyo kaukwaa Umakamo tena wa kwanza ,Chadema mnagpigania umeya mnakuwa sijui ndo maraisi wa mikoa ,nasikia Slaa anataka kujiuzulu ?

duu chadema sijui imeingiaje hapa, na Slaa bado anawatesa tuu!
 
Jamani si tungekuwa na Raisi mmoja tuu, Raisi wa Tanzania, basi haafu huko kwngine kungekuwa na wawakilishi tuu? nadhani hii ingeleta umoja zaidi, maana hapa sioni tofauti ya Zanzibar kuwa moja ya Tanzania coz wao wanaraisi wao na anadecesion zake
 
Uzuri ni kwamba 2015 watakuwa sijui watajitetea vip mbele ya wananchi maana naona sasa wanafurahia tu hawajui wakishindwa kutekeleza yale ya wananchi wanaweza kuitwa CCM tu.
 
Mkuu nilikua najaribu kumuelewesha mtoa mada juu ya hoja yake ya msingi, lakini naona sasa wewe umekomalia ile sio taifa wala serikali, tena unazidi kusema sio smz maana wamepiga kura tayari.
Kimsingi mimi nadhani unatatizwa na mfumo huu kwakua tu haujawahi tokea usa, uk, australia nk. Sehemu ambazo ndio unadhani tunapaswa kuwaiga kwa kila kitu.
Mkuu hivi ndivyo 'tulivyokubaliana' kuungana kutokana na mazingira yetu..
Nashindwa kuelewe unaposema sio ya mapinduzi tena kwakuwa wamepiga kura.
Unapaswa kujua kuwa moja ya sababu kubwa iliopelekea smz indelee kuwepo niwao kulinda neno mapinduzi

La hasha mkuu.....kuna vitu viko wzi kabisa na wala si sababu ya kuiga au vipi....kama ni kuiga basi tumeiga 90% ya mifumo yetu ya utawala kama kupiga kura,kuwa na serikali nk...neno mapinduzi kisiasa liko dhahir...kuwa alipinduliwa sultani na serikali ya shamte 1964....serikali ya mapinduzi ikaendelea chini ya ASP(vile ndio waliopindua) na baadaye CCM mpaka 1995 UCHAGUZI WA VYAMA VINGI ULIPOFANYIKA...baada ya hapo mantiki ya SMZ siioni na ilitakiw aiwe SZ tu.
 
Hapa ndipo ninapoona umuhimu wa Katika ya Jamhuri ya muungano
Kwa kifupi kwanza nianze kuwaelimisha wandugu maana katika kuchangia kwenu nimegundua makosa mbalimbali
1.Tanzania ni Muungano wa Nchi mbili Tanganyika na Zanzibar
2. Kuna mapungufu sana katika serikali hiyo ya umoja wa kitaifa Zanzibar.
3. kama kweli Zanzibar sio nchi angalia jinsi Mapungufu ya kikatiba yanavyoonekana wazi!
4.Tudai katiba kwa nguvu sasa.
 
Safari ni Safari kila siku huwa sipingani na wewe hata siku moja. Nahii inatokana na points ambazo unaziheat kwa dwatu wenye upeo mdogo wa kuelewa kama Pauluss,
unajua tunapo zungumzia jambo la msingi watu wanarudi nyuma kwenye uchaguzi na Vyama vya siasa, tusiwe vishoka jamani au tusiwe na akili ya kuku kwasababu gani, unakatazwa hiki baada ya muda unafanya the same.

Selikali hapa ni propaganda Tanzania, na Hawa CUF si wanafurahi sasa hivi, we subiri changa litakapo anza kuwawasha next uchaguz
 
Mageuzi tutakuwa pamojakatika panel ya kuifungulia kesi selikali kama ikikataa kubadili katiba?
 
Back
Top Bottom