Hivi Zanzibar ilikuwa haina historia kabla hajaja Mwarabu?

Hivi Zanzibar ilikuwa haina historia kabla hajaja Mwarabu?

Niliwahi kusoma kitabu na ndani yake kuna hii sentensi...
"...Wazanzibar wanajiona kuwa Waarabu zaidi kuliko Waafrika..."

Chochote unachokiona Zanzibar au kilichoandikwa basi lazima Mwarabu ana mkono wake.
Niliwahi kuuliza nilipokuwa Mkoani Pemba, hivi kabla ya Mwarabu kulikuwa na namna yoyote ya maisha hapa (Pemba) jibu nililopewa ni kuwa ilikuwa ni sehemu tu mapumziko ya wavuvi.....
 
Hii ni mada nzuri msitake short cut tafuteni historia ya zanzibar kwa uchache fikeni pale makumbusho zanzibar mtapata walau mawili matatu kuhusu historia ya mwinyi mkuu, unguja ukuu na tumbatu na mengi sana pia mtajua kama zanzibar ilitawaliwa na wareno kwa kipindi fulani huko nyuma, na mkienda deep sana mtajua wafanyabiashara kutoka china, indonesia, india na mengi zaidi kuna Kilwa Chronicle hiki ni kitabu maarufu, and other books kama kitabu cha merger piece kinaitwa zanzibar Cosmopolitant island n.k fatilieni ibni batuta alivyowaongoza wareno kwenda cap vede, na kaizungumzia katika kamus lake nahisi kuna hitajiko kubwa la vijana wa leo kuisoma historia ya zanzibar, ndio kuna msemo ikipulizwa zumari zanzibar mpaka mpaka maziwa makuu wanacheza.
 
Wareno walitawala zanzibar kwa miaka 200 ndio wakaja waarabu kuwasaidia Wazanzibari na kuwaondoa Wareno. Swali jee nchi za Africa zilikuwa na mipaka kabla ya wakoloni au?
 
wareno ndio wa kwanza kufika.. ila hakuimpose culture ya kireno.. mtaalam mwarabu alivyofika akampiga mreno mreno akachapa miguu... mwarabu akaimpose culture ake na akafanya inter marriages
 
Hii ni mada nzuri msitake short cut tafuteni historia ya zanzibar kwa uchache fikeni pale makumbusho zanzibar mtapata walau mawili matatu kuhusu historia ya mwinyi mkuu, unguja ukuu na tumbatu na mengi sana pia mtajua kama zanzibar ilitawaliwa na wareno kwa kipindi fulani huko nyuma, na mkienda deep sana mtajua wafanyabiashara kutoka china, indonesia, india na mengi zaidi kuna Kilwa Chronicle hiki ni kitabu maarufu, and other books kama kitabu cha merger piece kinaitwa zanzibar Cosmopolitant island n.k fatilieni ibni batuta alivyowaongoza wareno kwenda cap vede, na kaizungumzia katika kamus lake nahisi kuna hitajiko kubwa la vijana wa leo kuisoma historia ya zanzibar, ndio kuna msemo ikipulizwa zumari zanzibar mpaka mpaka maziwa makuu wanacheza.
Mkuu mbona na ww umerudi pale pale?
Tunahitaji historia ya zanzibar kabla ya kuja warabu au wareno
 
Niliwahi kusoma kitabu na ndani yake kuna hii sentensi...
"...Wazanzibar wanajiona kuwa Waarabu zaidi kuliko Waafrika..."

Chochote unachokiona Zanzibar au kilichoandikwa basi lazima Mwarabu ana mkono wake.
Niliwahi kuuliza nilipokuwa Mkoani Pemba, hivi kabla ya Mwarabu kulikuwa na namna yoyote ya maisha hapa (Pemba) jibu nililopewa ni kuwa ilikuwa ni sehemu tu mapumziko ya wavuvi.....
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Unajua wabongo hatupendi kuelewa swali.
Siyo hatupend. ukweli iliopo ss wafrica hatuna history yyte.
Vitabu vyote vinavyoelezea Africa vimeandikwa na watu weupe.
Hebu nitajie hata kitabu kimoja kilichoandikwa na mwafrica aliyetumia jina la kiafrica na siyo la kiarabu?
 
MKUU ULIKUWEPO NA UTAWALA WA WANANCHI WAAFRIKA WEUSI CHINI YA MWINYI MKUU, WANAWAZUONI WA HISTORIA YA ZANZIBAR TUNAOMBA MUJITOKEZE MTUELIMISHE ZAIDI, MAISHA YA WANAWANCHI WA ZANZIBAR KABLA YA WAVAMIZI NA WAKOLONI KUTOKA URENO NA OMAN, LAKINI KAMA UJUAVYO MKUU MKOLONI YEYOTE AKIENDA SEHEMU KITU CHA KWANZA ANACHOFANYA NI KUFUTA KWA NGUVU KUBWA USTAARABU NA UTAMADUNI WA WANANCHI NA KUUDODESHA ILI KUIMARISHA USTAARABU NA UTAMADUNI WAKE, WAZUNGU WALIFANYA HIVYO NA WAARABU PIA.
 
Kuanzia tourist information zao mpaka politics zao kila kitu ni baada ya kuja mwarabu toka Omani

This is just ridiculous na wenyewe ukakutana nao wanakwambia mwarabu kaja kukuta pako empty!!!
Khaswa !! mababu zangu walinuku ukweli huu, kisiwa kitupu hata jina hali... kuwa palikuwa EMPTY... minazi na mawibi ya bahari hindi tuu !!!
Ndipo wakalipa jina Zenji barr (bara jeusi) !!!
 
ilukuwepo 880132 said:
Wareno walitawala zanzibar kwa miaka 200 ndio wakaja waarabu kuwasaidia Wazanzibari na kuwaondoa Wareno. Swali jee nchi za Africa zilikuwa na mipaka kabla ya wakoloni au?
Mipaka ilikuwepo ila sio present boundaries
 
Kuanzia tourist information zao mpaka politics zao kila kitu ni baada ya kuja mwarabu toka Omani

This is just ridiculous na wenyewe ukakutana nao wanakwambia mwarabu kaja kukuta pako empty!!!
Usiseme uwongo mchana tena kweupe nani kakwambia upuuzi huo. Hoja yako haikupaswa kuwekwa kwenye majadiliano kwenye ukumbi huu. Unachokiongolea ni akili za mtoto wa darasa la saba ya baada ya uhuru.

Kwa kuelewesha tu Mreno ameitawala Zanzibar muda mrefu zaidi kuliko waarabu wa Oman, kuanzia 1498 - 1698, wakati huo Tanganyika ilikuwa " empty" kihistoria ya maana.

Ushauri wa bure. punguza kusoma vitabu vya maskani au "baba" wa taifa vitakupumbaza uwezo wa kufikiri. Zanzibar ni tajiri wa historia ya kale kulikio nchi yoyote chini ya jangwa la Sahara.
 
Kuanzia tourist information zao mpaka politics zao kila kitu ni baada ya kuja mwarabu toka Omani

This is just ridiculous na wenyewe ukakutana nao wanakwambia mwarabu kaja kukuta pako empty!!!

Hii ni issue nyeti sana.
Inaweza kupelekea watu kutukana wenzao hapa jamvini.
Wazenji wengi wanajiona ni waarabu, au wenye asili ya uarabu kuliko uafrika. Na wanaona ni ujiko kujihusisha zaidi na uarabu. Kusema kwamba visiwa hivyo vilikuwa na watu wengine kabla ya waarabu kuja, kutaharibu mtazamo huo wa "arab supremacy" na kutafanya waarabu waonekane ni wakuja. Na kwa wengi wao, ni bora kudai kuwa visiwa hivyo vilikuwa havina watu kabla waarab hawajafika, kuliko kusema waarab waliwakuta wenyeji wengine.
 
Suala liko very clear ila mimi nimekupa nukuu kwa sabau zanzibar ukitaka historia yake huwezi kuimaliza kwa kuandika article humu kwenye forum just find out utapata jibu kama zanzibar ilikua tupu au ilikua na watu you will get there ? na ujue zanzibar empire haukuanza kuja kwa muarabu laaa ilikuawepo tokea zamani just waarabu walikua ku extend mbele zaidi na kuifaya iwe imara zaidi so find out ?
Mkuu mbona na ww umerudi pale pale?
Tunahitaji historia ya zanzibar kabla ya kuja warabu au wareno[/QUOTE
 
Kuanzia tourist information zao mpaka politics zao kila kitu ni baada ya kuja mwarabu toka Omani

This is just ridiculous na wenyewe ukakutana nao wanakwambia mwarabu kaja kukuta pako empty!!!
niliwahi kusimuliwa kwa ufupi asili ya kisiwa cha pemba kuitwa PEMBA. huku Msumbiji kuna MJI ukiitwa hivyo pia , kumbe mji ule ambao wenyeji wake ni wavuvi ndio asili ya jina Pemba, kama walivyo wakoroni, kwa tabia ya unyanyasaji. baadhi ya watu walikimbia manyanyaso toka Pemba ya msumbiji hadi Zanzibar , walipofika pale bado wakaona bado ni karibu, huenda Mreno atatuma jeshi kwenda kuwakamata na kuwarejesha hivyo wakasonga mbele zaidi hadi kisiwani hapo, kwa wingi wao , pale walikuta watu wachache waliokuwa wakipiga kambi kwa ajili ya uvuvi tu, kisha wakimaliza kuvua wanatweka tanga na kuondoka kwa hiyo kulikuwa hakuna mwenyeji wa asili pale , wakimbizi wale wakaona mji huo utawafaa , wakashusha nanga na kuanza maisha yao pale . ndio asili ya KISIWA NA JINA LA PEMBA
 
Back
Top Bottom