Hivi Zanzibar ilikuwa haina historia kabla hajaja Mwarabu?

Hivi Zanzibar ilikuwa haina historia kabla hajaja Mwarabu?

Suala liko very clear ila mimi nimekupa nukuu kwa sabau zanzibar ukitaka historia yake huwezi kuimaliza kwa kuandika article humu kwenye forum just find out utapata jibu kama zanzibar ilikua tupu au ilikua na watu you will get there ? na ujue zanzibar empire haukuanza kuja kwa muarabu laaa ilikuawepo tokea zamani just waarabu walikua ku extend mbele zaidi na kuifaya iwe imara zaidi so find out ?
Najua kabla ya kuja kwa warabu au wareno walikuwepo watu wanaishi ila hatuna article yyte inayoelezea kwa kina na iliyoandikwa na wazawa.
Sisi wafrica tulikosea sana kutohifadhi historia yetu ktk maandishi halafu tuliwathamin sana watu weupe ndiyo maana majina yetu ya kiafrika hatuyaki.
Hiv kabla ya kuja mzungu kugundua ziwa victoria, je, hili ziwa lilikuwa linaitwaje? Je, watu walikuwa wanaishi maeneo ya ziwa victoria? Je, kwann wafrica walikubali kirahis sana jina hili la ziwa victoria litumike mpaka sasa?
 
Mkuu mbona na ww umerudi pale pale?
Tunahitaji historia ya zanzibar kabla ya kuja warabu au wareno

" Little is known about the history of Zanzibar between the time of the Periplus and the death of Muhammad in 632 CE. From that point forward, wars in Asia and increasing trade motivated Persians, Arabs, and Indians to visit or migrate to Zanzibar.

Persian traders used Zanzibar as a base for voyages between the Middle East, India, and Africa. Unguja, the larger island, offered a protected and defensible harbor, so although the archipelago offered few products of value, the Persians settled at what became Zanzibar City ("Stone Town") a convenient point from which to trade with the Swahili Coast towns. They established garrisons on the islands and built the first Zoroastrian fire temples and mosques in the Southern Hemisphere. The Kizimkazi Mosque is the oldest Islamic buildings on the East African coast;according to a preserved kufic inscription, it was built in 1107 by settlers from Shiraz.Islam came to Zanzibar in the 8th century and the vast majority of Muslims in Zanzibar are Sunni.

During the Middle Ages, Zanzibar and other settlements on the Swahili Coast were advanced. The littoral contained a number of autonomous trade cities. These towns grew in wealth as the Swahili people served as intermediaries and facilitators to local, Arab, Persian, Indonesian, Malaysian, Indian, and Chinese merchants. This interaction contributed in part to the evolution of the Swahili culture, which developed its own written language."
 
" Little is known about the history of Zanzibar between the time of the Periplus and the death of Muhammad in 632 CE. From that point forward, wars in Asia and increasing trade motivated Persians, Arabs, and Indians to visit or migrate to Zanzibar.

Persian traders used Zanzibar as a base for voyages between the Middle East, India, and Africa. Unguja, the larger island, offered a protected and defensible harbor, so although the archipelago offered few products of value, the Persians settled at what became Zanzibar City ("Stone Town") a convenient point from which to trade with the Swahili Coast towns. They established garrisons on the islands and built the first Zoroastrian fire temples and mosques in the Southern Hemisphere. The Kizimkazi Mosque is the oldest Islamic buildings on the East African coast;according to a preserved kufic inscription, it was built in 1107 by settlers from Shiraz.Islam came to Zanzibar in the 8th century and the vast majority of Muslims in Zanzibar are Sunni.

During the Middle Ages, Zanzibar and other settlements on the Swahili Coast were advanced. The littoral contained a number of autonomous trade cities. These towns grew in wealth as the Swahili people served as intermediaries and facilitators to local, Arab, Persian, Indonesian, Malaysian, Indian, and Chinese merchants. This interaction contributed in part to the evolution of the Swahili culture, which developed its own written language."
Haya ndiyo nimeyakataa. Hakuna historia ya zanzibar iliyoandikwa na mzawa.
Zanzibar wanatumia lugha gani mkuu?
Inaonekana ss hatujui chochote kuhusu historia yetu. Inaonekana watu weupe wanatufahamu sana kuliko ss.
AIBU SANA
 
Hii ni issue nyeti sana.
Inaweza kupelekea watu kutukana wenzao hapa jamvini.
Wazenji wengi wanajiona ni waarabu, au wenye asili ya uarabu kuliko uafrika. Na wanaona ni ujiko kujihusisha zaidi na uarabu. Kusema kwamba visiwa hivyo vilikuwa na watu wengine kabla ya waarabu kuja, kutaharibu mtazamo huo wa "arab supremacy" na kutafanya waarabu waonekane ni wakuja. Na kwa wengi wao, ni bora kudai kuwa visiwa hivyo vilikuwa havina watu kabla waarab hawajafika, kuliko kusema waarab waliwakuta wenyeji wengine.
Kwani wakijiona Wana uarabu tatizo liko wapi? Mbona weusi wengi tu ulaya na marekani hawajioni wao Ni wa Africa anajiona mzungu mweusi! Ubaguzi tu mliobarikiwa
 
Haya ndiyo nimeyakataa. Hakuna historia ya zanzibar iliyoandikwa na mzawa.
Zanzibar wanatumia lugha gani mkuu?
Inaonekana ss hatujui chochote kuhusu historia yetu. Inaonekana watu weupe wanatufahamu sana kuliko ss.
AIBU SANA[/QUOT

Unajua kama huijui zanzibar huwezi jua mambo yake pomoja na historia yake unajua waafrika miaka ya nyuma walikua hawakutilia umuhimu elimu utakuta wenzetu waarabu na wazungu jambo la elimu na kuandika ni muhimu ila kwa sababu hizo haiondoi uhalisia kwamba zanzibar imekua haina historia ya kabla waarabu, unajua zanzibar kuna kisiwa kimoja kinaitwa tumbatu nenda katembee mkuu utapata simulizi za kukusisimua ujue historia ya zanzibar kwa ufupi huko tumbatu kuna kitabu hasa cha ngozi kina maelezo ya kutosha ya watu wakale unajua,
ama najua tatizo liko wapi kwamba katika zanzibar huwezi kuwacha kuwataja waarabu ikiwa pre arab colonialism and post arab colonialism waaraarabu watatajwa tu kwasabau ndio waliozunguka huu ukanda wa afrika mashariki kutoka india ocean juu kabisa, unajua nilikutajia hapo mwanzokuna mtu ibni batuta (bingwa wa usafiri wa bahari) ameitaja zanzibar katika kamus yake na huyu ni muarabu ila sio muarabu wa Omani yeye ndio alowaongoza wareno mpaka cap verde sasa suala ameijuaje hiyo cap verde ? kama ilikua hakuna safari za kutoka arabuni, india, china indonesia n.k historia si lazima kuandikwa na mtu mwafrika ama mzungu au muarabu la msingi kuangalia nini ameandiaka na ameandiaka kwa usahihi tizama vitabu baada ya uhuru au mapindzi ya zanzibar yameandikwa na hao unaohisi wakiandika watakupendeza ila ni aajabu yalio andikwa maana hayana ukweli hata kidogo
 
Gregoire's

Unajua kama huijui zanzibar huwezi jua mambo yake pomoja na historia yake unajua waafrika miaka ya nyuma walikua hawakutilia umuhimu elimu utakuta wenzetu waarabu na wazungu jambo la elimu na kuandika ni muhimu ila kwa sababu hizo haiondoi uhalisia kwamba zanzibar imekua haina historia ya kabla waarabu, unajua zanzibar kuna kisiwa kimoja kinaitwa tumbatu nenda katembee mkuu utapata simulizi za kukusisimua ujue historia ya zanzibar kwa ufupi huko tumbatu kuna kitabu hasa cha ngozi kina maelezo ya kutosha ya watu wakale unajua,
ama najua tatizo liko wapi kwamba katika zanzibar huwezi kuwacha kuwataja waarabu ikiwa pre arab colonialism and post arab colonialism waaraarabu watatajwa tu kwasabau ndio waliozunguka huu ukanda wa afrika mashariki kutoka india ocean juu kabisa, unajua nilikutajia hapo mwanzokuna mtu ibni batuta (bingwa wa usafiri wa bahari) ameitaja zanzibar katika kamus yake na huyu ni muarabu ila sio muarabu wa Omani yeye ndio alowaongoza wareno mpaka cap verde sasa suala ameijuaje hiyo cap verde ? kama ilikua hakuna safari za kutoka arabuni, india, china indonesia n.k historia si lazima kuandikwa na mtu mwafrika ama mzungu au muarabu la msingi kuangalia nini ameandiaka na ameandiaka kwa usahihi tizama vitabu baada ya uhuru au mapindzi ya zanzibar yameandikwa na hao unaohisi wakiandika watakupendeza ila ni aajabu yalio andikwa maana hayana ukweli hata kidogo
 
Jamani someni Peripulus of Anthrenian sea muone kati ya Mreno na Mwaarabu nani wa kwanza kuishi Zenji
 
SIJAELEWA MNABISHANA NINI ILA KUTOKANA NA UELEWA WANGU MDOGO WA DARASANI MWALIMU WANGU ALIWAHI KUSEMA KUA HISTORIA YOTE KUHUSU ZENJI ILIHARIBIWA YAANI KUCHOMWA MOTO ARTICLES ZOTE KUHUSU ZANZIBAR HISTORY
 
Kwa kuweka mambo sawa zaidi japo kuwa kuna watu wanahisi kama kuna watu wana slave mentality za kiarabu kutokana na kuto kujua historia wanabakia kutokua na reasons ku support historia au kupinga, ila nakupeni nukuu nyengine katika Piramid za Egypt huwa wanaweka kumbukumbu zao kwa kuchorocha kwenye kuta(kama michoro ya watu wanafanya kazi, au wako (Firauni) Ramsis wao n.k) na utaona kuna baadhi ya michoro iliochorwa katika kuta za Piramid ambazo zinaonyesha channel ya kuja Afrika ya mashariki mpaka Sofala (Mozambique hili ni jina la mtawala wa Mozambique ambae jina lake hasa ni Mussa Bin Mbiq ila Wareno hawakuweza kuli pronounce au pia ikijulikanwa kwa jina la Sofala) basi wakati huo Egypt wakija kwa ajili ya kufata dhahabu ( Mozambique tokea zamani kunajulikanwa kuna dhahabu nyingi sana) na madini mengini (nimeingiza jina la Mozambique ili lijulikanwe asili yake basi)
Kwa haraka hara mtahisi nimetoka nje ya mada ila points hapo kuonyesha kwamba muarabu alikua na nafasi kubwa katika Afrika kwa ujumla na pia Afrika mashariki kwa ujumla ila kamateni nukuu hiyo kwanza Zanzibar ina vast history.
 
Kuna tofauti ya kuwepo Historia ya sehem na kuandika Historia ya sehemu.. Sasa mtu ukisema mbona hakuna maandishi yaliyo andikwa na mwaafrika kuhusu Zanzibar basi wewe sio mwanahistoria makini.. Historia inapatikana na kutunzwa kwa njia tofauti mfano simulizi, pili jiulize mwaafrika ameanza lini tamaduni ya kuweka mambo yake kwenye maandishi. Kuna maandishi mengi yanayo husu Zanzibar yalichomwa na Wareno na ukitaka kujua zaidi tafuta tafiti za Prof. Felix Chami amefanya research nyingi kuhusu Zanzibar ingawa wazungu walikua hawako tayari kukubali ata kutoa hela ya tafiti kuhusu Zanzibar. Tafuta maandiko ya Marine Archeological Research in Zanzibar utapata mambo mengi kuhusu Zanzibar.
Ingawa mimi sikubaliani na hii dhana kua Zanzibar ina historia kuliko sehemu yoyote chini ya Jangwa la Sahara.. Hiyo ni subjectivity in writing History
 
Kwa kuweka mambo sawa zaidi japo kuwa kuna watu wanahisi kama kuna watu wana slave mentality za kiarabu kutokana na kuto kujua historia wanabakia kutokua na reasons ku support historia au kupinga, ila nakupeni nukuu nyengine katika Piramid za Egypt huwa wanaweka kumbukumbu zao kwa kuchorocha kwenye kuta(kama michoro ya watu wanafanya kazi, au wako (Firauni) Ramsis wao n.k) na utaona kuna baadhi ya michoro iliochorwa katika kuta za Piramid ambazo zinaonyesha channel ya kuja Afrika ya mashariki mpaka Sofala (Mozambique hili ni jina la mtawala wa Mozambique ambae jina lake hasa ni Mussa Bin Mbiq ila Wareno hawakuweza kuli pronounce au pia ikijulikanwa kwa jina la Sofala) basi wakati huo Egypt wakija kwa ajili ya kufata dhahabu ( Mozambique tokea zamani kunajulikanwa kuna dhahabu nyingi sana) na madini mengini (nimeingiza jina la Mozambique ili lijulikanwe asili yake basi)
Kwa haraka hara mtahisi nimetoka nje ya mada ila points hapo kuonyesha kwamba muarabu alikua na nafasi kubwa katika Afrika kwa ujumla na pia Afrika mashariki kwa ujumla ila kamateni nukuu hiyo kwanza Zanzibar ina vast history.
hahahaha mkuu upo nje ya reli
 
Not just ridiculous but jus too ridiculous
MKUU ULIKUWEPO NA UTAWALA WA WANANCHI WAAFRIKA WEUSI CHINI YA MWINYI MKUU, WANAWAZUONI WA HISTORIA YA ZANZIBAR TUNAOMBA MUJITOKEZE MTUELIMISHE ZAIDI, MAISHA YA WANAWANCHI WA ZANZIBAR KABLA YA WAVAMIZI NA WAKOLONI KUTOKA URENO NA OMAN, LAKINI KAMA UJUAVYO MKUU MKOLONI YEYOTE AKIENDA SEHEMU KITU CHA KWANZA ANACHOFANYA NI KUFUTA KWA NGUVU KUBWA USTAARABU NA UTAMADUNI WA WANANCHI NA KUUDODESHA ILI KUIMARISHA USTAARABU NA UTAMADUNI WAKE, WAZUNGU WALIFANYA HIVYO NA WAARABU PIA.
Mkuu mbona na ww umerudi pale pale?
Tunahitaji historia ya zanzibar kabla ya kuja warabu au wareno

Historia ya kabla wakoloni ipo ila haitakiwi Na serekali ndio inayoificha ili kuficha aibu zao.

Zanzibar ilianza kukaliwa na Waarabu kutoka Yemen pamoja na wa afrika kutoka Somali, Sudan na baadae wakafata Wa Asia kutoka Iran. huo ndio ulikokua mchanganyiko wa mwanzo wa Zanzibar. hapa tunazungumzia miaka 1000 nyuma. kwa zaidi ya miaka ilivyokua inakwenda wakaendelea kuhamia wahamiaji wa maeneo mengine hasa WaOman mpaka hapo walipokuja wareno miaka ya 1600.

Tatizo kubwa linakuja pale tunapolazimishwa kuaminishwa kuwa Zanzibar waarabu walikuja 1800 kwa Ujio wa Mfalme wa Oman Zanzibar.
Wakati mfalme wa Oman alikuja Zanzibar tayari waarabu wapo Zanzibar zaidi ya miaka elfu.

CCM wamezalisha Ujinga mkubwa sana kwenye nchi yetu kwa ajili ya maslahi yao binafsi.
 
Back
Top Bottom