Hivi Zari kaishia wapi?

Kama zarinah vile yani kwenda kumuona huku umevaa white kiingilio milioni....

Ni kweli si umeona wadada wanaojua kutumia majina yao.yani tulivalishwa nguo white utazani madokta na hamsini laki laki na mamilioni kwenda kumsapoti tu Zari wkt Zari alikuwa hamfikii Wema kwa umaarufu. We mtuu gani kutwa kugombania waume za watu yani anaishi kwa kutegemea uch.i.tumuombee apate huo ubunge maana huku mtaani hauzi michilizi ile mwili wote fumufumu atampa nani
 

mfalitilie skani kwenu, walah project imeanzwa kwa nyanyako
 

Huo ubunge ni wrong target, angemuwahi baba rizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…