Hivi Zari kaishia wapi?

Hivi Zari kaishia wapi?

Kama zarinah vile yani kwenda kumuona huku umevaa white kiingilio milioni....

Ni kweli si umeona wadada wanaojua kutumia majina yao.yani tulivalishwa nguo white utazani madokta na hamsini laki laki na mamilioni kwenda kumsapoti tu Zari wkt Zari alikuwa hamfikii Wema kwa umaarufu. We mtuu gani kutwa kugombania waume za watu yani anaishi kwa kutegemea uch.i.tumuombee apate huo ubunge maana huku mtaani hauzi michilizi ile mwili wote fumufumu atampa nani
 
Wakuu kujeni hapa tujuzane hivi yule shemeji yetu ZARI kaishia wapi?

Maana zilipigwa swaga kibao hapa mara harusi mara ana ujauzito mara hoooo, mara heee sijui Mlimani City mara pete ya uchumba na Mond.Ghafla ikawa kimyaaaaaaaaa.

Au karudi kwa katunzi?

mfalitilie skani kwenu, walah project imeanzwa kwa nyanyako
 
Ni kweli si umeona wadada wanaojua kutumia majina yao.yani tulivalishwa nguo white utazani madokta na hamsini laki laki na mamilioni kwenda kumsapoti tu Zari wkt Zari alikuwa hamfikii Wema kwa umaarufu. We mtuu gani kutwa kugombania waume za watu yani anaishi kwa kutegemea uch.i.tumuombee apate huo ubunge maana huku mtaani hauzi michilizi ile mwili wote fumufumu atampa nani

Huo ubunge ni wrong target, angemuwahi baba rizi
 
Back
Top Bottom