Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Kwema wakuu habari zenu?
Nimejaribu kuwaza tu Tulipokuwa tunasoma au kuhadithiwa shuleni, hizo story kwenye maisha ya kawaida haya tunayoishi huwa havitokei kabisa
Nimeona kuuliza maana mpaka kuandika huu uzi ni mambo mengi nafikilia natamani niwe natembea njiani nikutane na Bibi Mzee akiwa na kuni kichwani na fimbo mkononi akiwa anatembea taratibu, nimwambie bibi nikusaidie Mzigo
Niuchukue tuongozane mpaka nyumbani kwake akifika anishukuru na kunipa zawadi ya kioo ama pete aniambie, " Mjukuu wangu Asante kwa kunisaidia na roho yako nzuri nakupa zawadi hiyo itakusaidia chochote kile ukiombacho kwa kutumia pete hii au kioo hiki utapata" basi nami ntaondoka na baada ya siku kadhaa nakuwa tajiri
Najaribu kuwaza tu maana Maisha yanavyopiga mpaka watu tunawaza njia za short court, nauliza tu hizo story hazipo kwenye real life au ndo tulisoma tu shuleni ikawa imetoka🤪🤦😁
Nimejaribu kuwaza tu Tulipokuwa tunasoma au kuhadithiwa shuleni, hizo story kwenye maisha ya kawaida haya tunayoishi huwa havitokei kabisa
Nimeona kuuliza maana mpaka kuandika huu uzi ni mambo mengi nafikilia natamani niwe natembea njiani nikutane na Bibi Mzee akiwa na kuni kichwani na fimbo mkononi akiwa anatembea taratibu, nimwambie bibi nikusaidie Mzigo
Niuchukue tuongozane mpaka nyumbani kwake akifika anishukuru na kunipa zawadi ya kioo ama pete aniambie, " Mjukuu wangu Asante kwa kunisaidia na roho yako nzuri nakupa zawadi hiyo itakusaidia chochote kile ukiombacho kwa kutumia pete hii au kioo hiki utapata" basi nami ntaondoka na baada ya siku kadhaa nakuwa tajiri
Najaribu kuwaza tu maana Maisha yanavyopiga mpaka watu tunawaza njia za short court, nauliza tu hizo story hazipo kwenye real life au ndo tulisoma tu shuleni ikawa imetoka🤪🤦😁