Hivi Zitto yupo? Na Mbowe alipotoka jela alirudishwa tena? Angekuwa huru sasa hivi angedai Katiba na Mikutano

Hivi Zitto yupo? Na Mbowe alipotoka jela alirudishwa tena? Angekuwa huru sasa hivi angedai Katiba na Mikutano

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Zitto ni muda nadhani hayupo sayari hii. Atakuwa sehemu analamba tu Asali. Asikwambie mtu. Nampenda Rais Samia. Hatumii nguvu kuwanyamazisha wanasiasa. Magufuli alikuwa Mjeuri na mbishi. Acha alale huko aliko. Ashakum si matusi.

Wanasiasa wanapigania kupata "Kula" wakipata kula zao tu basi. Wanaunga mkono juhudi. Zitto alikabidhiwa bakuli la asali analamba na hataki hata kumtikisa mama. Mama anapita tu na kindoo anaangalia nani anaelekea kumaliza asali. Anammiminia tena.

Mbowe katoka kapewa na yeye Bakuli lake alambe, anajilamba tu. Umesikia anazungumzia Katiba Mpya? Mikutano kuna wanaoitaka? Ya nini sasa? Utagundua kelele zinatokana na njaa tu. Hamna lolote jingine. Mayala maana yake njaa.

Kelele zinatokana na Mayala tu. Mtu akishapewa Bakuli anatulia analamba, analamba, analamba tena. Wanasiasa wasiwadanganye kitu ndugu wadanganyika. Kama vipi tuanzishe chama chetu Jamii Forums Political Party. JFP Party.

Nimekaa pale 👉
 
Tuwe wakweli.

Mbowe amepewa kitengo gani?

Je, ni kweli mtu anaweza kupewa pesa hivihivi tu?
 
Hilo mbona liko wazi. Hao wameunga mkono juhudi kimya kimya na jjnsi asali ilivotamu kuliko konyagi mbowe hutamsikia kwa sasa
 
Hilo mbona liko wazi. Hao wameunga mkono juhudi kimya kimya na jjnsi asali ilivotamu kuliko konyagi mbowe hutamsikia kwa sasa
Tunaendelea kufanya utafiti kwa nini nyie vijana wengi wa UVCCM ni mashoga?

Nitakutumia maswali ya dodoso inbox unaweza kusaidia tafiti hii.

Please, usijali utapokea bahasha kidogo.

NB; Hata wengine wa huko uvccm wapendao kushiriki waje inbox [emoji392] na kujieleza nini kinawafanya wawe hivyo?

Tutawapa hizo posho kidogo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Zitto ni muda nadhani hayupo sayari hii. Atakuwa sehemu analamba tu Asali. Asikwambie mtu. Nampenda Rais Samia. Hatumii nguvu kuwanyamazisha wanasiasa. Magufuli alikuwa Mjeuri na mbishi. Acha alale huko aliko. Ashakum si matusi.

Wanasiasa wanapigania kupata "Kula" wakipata kula zao tu basi. Wanaunga mkono juhudi. Zitto alikabidhiwa bakuli la asali analamba na hataki hata kumtikisa mama. Mama anapita tu na kindoo anaangalia nani anaelekea kumaliza asali. Anammiminia tena.

Mbowe katoka kapewa na yeye Bakuli lake alambe, anajilamba tu. Umesikia anazungumzia Katiba Mpya? Mikutano kuna wanaoitaka? Ya nini sasa? Utagundua kelele zinatokana na njaa tu. Hamna lolote jingine. Mayala maana yake njaa.

Kelele zinatokana na Mayala tu. Mtu akishapewa Bakuli anatulia analamba, analamba, analamba tena. Wanasiasa wasiwadanganye kitu ndugu wadanganyika. Kama vipi tuanzishe chama chetu Jamii Forums Political Party. JFP Party.

Nimekaa pale [emoji117]
Atakuwa anapanga ziara kwenda ikulu akaonane na mama
 
Tunaendelea kufanya utafiti kwa nini nyie vijana wengi wa UVCCM ni mashoga...
Anza na yule wa ulaya anayepumuliwa kisogoni maliza cdm yote ukianzia wanaopumuliwa na Mbowe. Huku Uvccm hawana mambo mengi.
 
Unatoa wapi nguvu za kumsifia kiongozi wa nchi anayeongoza kwa kutoa Rushwa.?? Na unatueleza bila kusita kuwa wamelambishwa asali.. Rais huyo atatoa wapi mamlaka ya kimaadili ya kuwakemea watoaji na wapokeaji wa Rushwa..?? Upuuzi Upuuzi tu.. Tuonane 2025.. MTAFURAHI NA ROHO ZENU..
 
Back
Top Bottom