Hivyo ndivyo vijana wa kazi wa Kitanzania wanavyoturudisha nyuma na kututia hasara kubwa

Kama una muda hata kidogo tu, ingia field mwenyewe uyaoge. Kuna experience flani utaipata tena kwa sisi tuliozoea kukaa town miaka nenda rudi ni adventure nzuri pia....more money
Mkuu hakika mimi miaka kama 3 nyuma nilikuwa nafanya mwenyewe na vibarua tu. Baadae nikapata ajira ndo nikaanza kutumia watu hivi nina Exprience kiasi chake kuhusu ufagaji na kilimo
 
Hii inaacha maumivu sana na ndio maana kuna wengine huwa wanarogwa vibaya mno. Huyu jamaa nimeshamwambia akishupaza shingo atakuja kujuta muda sio mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…