HIVYO ULIVYO UNAWEZA KUOA AU KUOLEWA KWELI?

HIVYO ULIVYO UNAWEZA KUOA AU KUOLEWA KWELI?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
kwa namna na jinsi unavyo vaa mavazi yako, kwa kauli na jinsi unavyoongea na watu, kuchangamana na rika mbalimbali, kuelewana na watu, na kushirikiana na wengine kwenye mambo mablimbali mathalani ya kiimani, furaha na huzuni....

kwa mwenendo na tabia yako ndani na nje ya familia, na zaidi sana katika jamii inayokuzunguka, yaani majirani, ndugu jamaa na marafiki, huja notice kitu chochote cha kuboresha au kuepuka kwenye maisha yako ili uwe na uhakka zaidi wa kuoa au kuolewa....

Je, unaweza kua husband au wife material kweli ikijiasses wewe mwenyewe, hasa wewe kijana ambae ndio kwanza unajitafuta kwenye mauhusiano na pengine uchumba...

mahangaiko ni mengi sana hivi sasa, hasa kwa ambao wako tayari kuoa au kuolewa na umri unasonga.
mitindo ya maisha yao, tabia na mienendo yao yenye kutia hofu na mashaka, imefanya wengi mpaka sasa wamefika hatua ya kukata tamaa kwamba hawawezi kuoa wala kuolewa...

sio vizuri kukata tamaa hata kidogo,
hujachelewa, muda bado upo, ni kiasi cha kujifanyia tathimini mwenyewe, kuwa mstahimilivu na mwenye subra, kujisahihisha, kujirekebisha na kujiformat upya kwa utaratibu wa kumshirikisha Mungu katika nia, matamanio, haja na ndoto za kusudi la moyo wako katika maisha ya kifamilia unayohitaji....

na kwa Neema na Baraka za Mungu utafanikiwa kuoa au kuolewa kwa wakati muafaka wa Mungu...
UBARIKIWE SANA MPENDWA UNAPOJIFANYIA TATHIMINI, KUJISAHIHISHA NA KUJIANDAA KUELEKEA KUOA AU KUOLEWA..
 
IMG-20240611-WA0541.jpg
 
Inawezekana Ila Wenye Mungu Mwenyezi anawaleta 👐 ni kama anajaribu uvumilivu wangu wa kuishi na watu wasiojitambua.
Naona kikubwa kwenye maisha ili kuepuka hizi drama ni kutafuta kusudi la maisha ukishalipata na kulifanya mengine tutayapata kwa ziada.
Ni hayo tu ndugu zangu.
 
God's time is always the best
don't you feel God's spiritual power within your heart attracting and pushing you to go out where your friend in life always attend and look for you?

becoz yours in life is there waiting you 🐒
 
Yupo wapi nimfate?😀
anakusubiri mno kwenye nyumba za ibada huwa anakuchek hakuoni, kwenye makongamano, semina, warsha za za vijana za kidini na zisizo za kidini lakini hutokei...

saa zingine hadi anakuja kwenye ndoa na send-off za vijana wenzio ila wewe hutokei, why?🐒
 
Beauty has sent a lot of girls to marriage but character is busy returning them to their father's house.
oohh,
why are you exposing open and bitter truth like that gentleman?🐒

inaumiza sana, inasikitisha sana dah 🐒
 
anakusubiri mno kwenye nyumba za ibada huwa anakuchek hakuoni, kwenye makongamano, semina, warsha za za vijana za kidini na zisizo za kidini lakini hutokei...

saa zingine hadi anakuja kwenye ndoa na send-off za vijana wenzio ila wewe hutokei, why?🐒
Mh kumekucha, aya baba mchungaji nimekuelewa😁
 
Mh kumekucha, aya baba mchungaji nimekuelewa😁
Mungu akusaide, Mungu akupe nguvu, Mungu akufanikishe haja, nia, dhamira na ndoto ya maisha yako ya ndoa..
Aimen 🐒
 
Back
Top Bottom