Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Bandari ya mbambabay tayari ishaanza kujengwa. Barabara ya njombe ludewa tayari inaishia. Hivi Kwa Sasa baadhi ya makampuni yameeanza kuchimba Maka ya mawe ludewa serikali imelipa fidia wananchi liganga. Baadhi ya wazao wanajishughulisha na uhunzi. Sidhani kama hizi ni story za wanaccm
Mkuu tuombe uzima aisee, wanasiasa usiwasikilize mkuu mnawasikiliza sana na hii nchi sio mali yao ni ya wote mastaa
 
Bandari ya mbambabay tayari ishaanza kujengwa. Barabara ya njombe ludewa tayari inaishia. Hivi Kwa Sasa baadhi ya makampuni yameeanza kuchimba Maka ya mawe ludewa serikali imelipa fidia wananchi liganga. Baadhi ya wazao wanajishughulisha na uhunzi. Sidhani kama hizi ni story za wanaccm
Tunatakiwa kwanza tusolve tatizo la umeme ndio hizi operation zitaenda smooth au nasema uwongo ? Tunaestablish maviwanda makubwa ya umeme mkubwa wakati umeme wa kuwasha tu majumbani hautoshi tena kwa house holds ndogo zilizopo Tanzania, alafu unataka niamini establishment ya viwanda vikubwa vitakavyokuwa vinatumia umeme mkubwa ? Jaribu kulogic vitu kichwani mkuu, Tuna source moja tu ya power, tutayatekeleza vipi uliyoyasema bila reliable source of power ? …Viongozi wako wapo sijui zambia au malawi kama sikosei wanaenda kuanzisha partnership ya kutengeneza alternative source of power na nchi nyingine hela wameiba huku..
 
Dodoma haiwezo kuikuta dar hata kama dar itasimama kujengwa kwa miaka 10
Mbona unakosa kujiamini na hoja zako mkuu , trajectory ya mada yako inaielezea dodoma !!! Sawa tufanye hapo sijakuelewa , ni mkoa upi unaouongelea ambao utakuja kuipiga bao Dar ?
 
Tunatakiwa kwanza tusolve tatizo la umeme ndio hizi operation zitaenda smooth au nasema uwongo ? Tunaestablish maviwanda makubwa ya umeme mkubwa wakati umeme wa kuwasha tu majumbani hautoshi tena kwa house holds ndogo zilizopo Tanzania, alafu unataka niamini establishment ya viwanda vikubwa vitakavyokuwa vinatumia umeme mkubwa ? Jaribu kulogic vitu kichwani mkuu, Tuna source moja tu ya power, tutayatekeleza vipi uliyoyasema bila reliable source of power ? …Viongozi wako wapo sijui zambia au malawi kama sikosei wanaenda kuanzisha partnership ya kutengeneza alternative source of power na nchi nyingine hela wameiba huku..
Kama ni kule ludewa Kuna makaa ya mawe yakutosha sidhani kama umeme ni tatizo Kwa kule.
 
Mkuu labda aje raisi kichaa, ila serikali haihami Dar, sio leo wala kesho, itafungua makao makuu Dodoma, ila shughuli zile zile na huduma zile zile za makao makuu zitapatikana Dar, yan et siku serikali iseme pale magogoni raisi hatakaa tena pafungwe 😂 hapana aiseee


Kuhusu balozi za kimataifa, hizi wanaamua wao wakae wapi, na sidhani kuna balozi itaenda ikajitese kukaa Dodoma iache Dar,


Dar itapungua nguvu ya ushawishi sawa ila bado itakuwa kinara hapa Tz kwa miaka mingi sana ijayo,
Serikali kufanya mkoa wa pwani kuwa mkoa wa kiviwanda hio ndio ilipiga muhuri kuwa Dar haitafuta utawala wake kwa miaka mingi sana ijayo,
Sahihi kabisa ! Pwani kwa sasa ndio mkoa kinara wa viwanda , bahati mbaya pwani yenyewe haina banking facilities za kuweza kutosheleza viwanda vya pwani. Matokeo yake viwanda vingi vya pwani vinafanya shighuli za kibenki na mauzo Dar.
Mfano Keda tiles ipo chalinze ofisi kuu ipo shekilango.
 
Watu wanavyosema Dar unadhani hakuna biashara mpya zinazaliwa Dar au wanadhani dar itasimama kuiacha hio mikoa ije,
Dar hata isimame kujengwa kwa miaka 10 bado hakuna mkoa utaifikia , kitendo cha mkoa wa viwanda wa pwani tu kuizunguka dar ,tayari mnufaikaji mkuu ni Dar es salaam.
Halafu watu walilishwa ujinga na mwendazake kwa kuaminishwa kuwa serikali inaweza kuhamisha mji kwa kuhamasisha ujemzi wa mji husika mama ilnavyofanya Dodoma.
Matter of the fact ni kuwa miji hujengwa na wafanyabiashara sio serikali, nahii ndo inaifsnya Dar iendelee maana ni potential hub.
mfanyabiadhara haweki pesa yake sehemu ambampo hakuna mzunguko. Sewahaji ndo alichagua na kujenga hospitali ya muhimbili akitokea bagamoyo , leo hii ndio hospitali kubwa Tanzania.
 
Yeahnajua Fom pia, nna jamaangu amejenga kule ilazo, its a nice place ba nimeona nyumba zinafanana na nyumba zilizopo dar NASALUTE SANA MAN… ILA DAR NI SWALA LINGINE MKUU. Niliwah kufanya kazi ya kuzunguka mkoa kwa mkoa man nachoweza kusema kuna sehemu mkuu bado saaaaaana yan daaah mwanangu hii nchi kubwa sanaaa na sehemu kubwa haina watu kabisa yan 75 percent ya tanzania ni mapori unaweza sema wanyama ni wengi kuliko binadamu Tanzania mkuu…ILAZO A NICE PLACE nlikula sausage choma zile zinatengenezwa kenya na tulinunua shoprite kama sikosei na by that time nlikuwa sijui kama kuna shoprite Dom, tukafanya kahouse party ketu pale tukaenjoi ila pia 80% ya watu walokuwepo ni watu wa dar so bado inabid Dar uisalute…nikiendaga bambalaga na pale sijui wapi nimesahau jina sikosi mtu nnaemjua wa kumkuta viwanjani Dar ila anyways KUDOS again man..

Mtu aliyeizoea dar labda umpeleke mwanza ndio ataacha kwenda weekend 😁😁

Ila hata hata moro hapo watu wengi sana weekend wapo dar, jumatatu wapo ofisini na ni kweli hii nchi bado sanaaa na ukiingia vijijini kuna umaskini wa kutisha
 
Mtu aliyeizoea dar labda umpeleke mwanza ndio ataacha kwenda weekend 😁😁

Ila hata hata moro hapo watu wengi sana weekend wapo dar, jumatatu wapo ofisini na ni kweli hii nchi bado sanaaa na ukiingia vijijini kuna umaskini wa kutisha
Kweli mkuu we angalia hata apo dodoma unajua sio mbali hata na kongwa hapo ila kongwa unapaonaje ? Watu wengi wanasema tu hawajazunguja hii nchi wakajipnea man, ni changamoto sana…
 
Kweli mkuu we angalia hata apo dodoma unajua sio mbali hata na kongwa hapo ila kongwa unapaonaje ? Watu wengi wanasema tu hawajazunguja hii nchi wakajipnea man, ni changamoto sana…
Dodoma hutakiwi kutoka hata km 40 kushuhudia umaskini wa kutisha maana ni pakame na zile nyumba za tembe sio mchezo.

Na ubaya Dom life ni expensive na serikali ikihamia full itakuwa shida zaidi. Bora hata ya dsm watu wa kipato cha chini wanaweza kupata life flani Ila Dom sio poa
 

Attachments

  • Screenshot_20231022-162525.jpg
    Screenshot_20231022-162525.jpg
    76.2 KB · Views: 4
Back
Top Bottom