toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Mkuu tuombe uzima aisee, wanasiasa usiwasikilize mkuu mnawasikiliza sana na hii nchi sio mali yao ni ya wote mastaaBandari ya mbambabay tayari ishaanza kujengwa. Barabara ya njombe ludewa tayari inaishia. Hivi Kwa Sasa baadhi ya makampuni yameeanza kuchimba Maka ya mawe ludewa serikali imelipa fidia wananchi liganga. Baadhi ya wazao wanajishughulisha na uhunzi. Sidhani kama hizi ni story za wanaccm
Dodoma haiwezo kuikuta dar hata kama dar itasimama kujengwa kwa miaka 10Sijaseme dodoma itaipita dar Bali dodoma inapunguza makali ya dar hivyo inakuwa rahisi mikoa inayoingimbiza dar kuipita
Ulitaka nikae huko ambako wanaume mnaolewaJitu limezaliwa 97 afu linakaa kijijini
Uchumi sio kujengeka unaweza kujenga Km 50 hafu ni vibanda au unaweza Jenga km 50 hafu bado hazikizi mahitaji wengine wakawa wanalala nje.Taja mkoa wowote Tanzania ambao KM 50 pande zote pamejengeka
Nani kasema dodomaDodoma haiwezo kuikuta dar hata kama dar itasimama kujengwa kwa miaka 10
Tunatakiwa kwanza tusolve tatizo la umeme ndio hizi operation zitaenda smooth au nasema uwongo ? Tunaestablish maviwanda makubwa ya umeme mkubwa wakati umeme wa kuwasha tu majumbani hautoshi tena kwa house holds ndogo zilizopo Tanzania, alafu unataka niamini establishment ya viwanda vikubwa vitakavyokuwa vinatumia umeme mkubwa ? Jaribu kulogic vitu kichwani mkuu, Tuna source moja tu ya power, tutayatekeleza vipi uliyoyasema bila reliable source of power ? …Viongozi wako wapo sijui zambia au malawi kama sikosei wanaenda kuanzisha partnership ya kutengeneza alternative source of power na nchi nyingine hela wameiba huku..Bandari ya mbambabay tayari ishaanza kujengwa. Barabara ya njombe ludewa tayari inaishia. Hivi Kwa Sasa baadhi ya makampuni yameeanza kuchimba Maka ya mawe ludewa serikali imelipa fidia wananchi liganga. Baadhi ya wazao wanajishughulisha na uhunzi. Sidhani kama hizi ni story za wanaccm
Mbona unakosa kujiamini na hoja zako mkuu , trajectory ya mada yako inaielezea dodoma !!! Sawa tufanye hapo sijakuelewa , ni mkoa upi unaouongelea ambao utakuja kuipiga bao Dar ?Dodoma haiwezo kuikuta dar hata kama dar itasimama kujengwa kwa miaka 10
Kama ni kule ludewa Kuna makaa ya mawe yakutosha sidhani kama umeme ni tatizo Kwa kule.Tunatakiwa kwanza tusolve tatizo la umeme ndio hizi operation zitaenda smooth au nasema uwongo ? Tunaestablish maviwanda makubwa ya umeme mkubwa wakati umeme wa kuwasha tu majumbani hautoshi tena kwa house holds ndogo zilizopo Tanzania, alafu unataka niamini establishment ya viwanda vikubwa vitakavyokuwa vinatumia umeme mkubwa ? Jaribu kulogic vitu kichwani mkuu, Tuna source moja tu ya power, tutayatekeleza vipi uliyoyasema bila reliable source of power ? …Viongozi wako wapo sijui zambia au malawi kama sikosei wanaenda kuanzisha partnership ya kutengeneza alternative source of power na nchi nyingine hela wameiba huku..
Duh.......aya sawaHui
Huijui dar wala kariakoo kiundani,
Sahihi kabisa ! Pwani kwa sasa ndio mkoa kinara wa viwanda , bahati mbaya pwani yenyewe haina banking facilities za kuweza kutosheleza viwanda vya pwani. Matokeo yake viwanda vingi vya pwani vinafanya shighuli za kibenki na mauzo Dar.Mkuu labda aje raisi kichaa, ila serikali haihami Dar, sio leo wala kesho, itafungua makao makuu Dodoma, ila shughuli zile zile na huduma zile zile za makao makuu zitapatikana Dar, yan et siku serikali iseme pale magogoni raisi hatakaa tena pafungwe 😂 hapana aiseee
Kuhusu balozi za kimataifa, hizi wanaamua wao wakae wapi, na sidhani kuna balozi itaenda ikajitese kukaa Dodoma iache Dar,
Dar itapungua nguvu ya ushawishi sawa ila bado itakuwa kinara hapa Tz kwa miaka mingi sana ijayo,
Serikali kufanya mkoa wa pwani kuwa mkoa wa kiviwanda hio ndio ilipiga muhuri kuwa Dar haitafuta utawala wake kwa miaka mingi sana ijayo,
Dar hata isimame kujengwa kwa miaka 10 bado hakuna mkoa utaifikia , kitendo cha mkoa wa viwanda wa pwani tu kuizunguka dar ,tayari mnufaikaji mkuu ni Dar es salaam.Watu wanavyosema Dar unadhani hakuna biashara mpya zinazaliwa Dar au wanadhani dar itasimama kuiacha hio mikoa ije,
Hapa umegeuza mkuu,Lagos na Abuja ni lipi jiji kubwa?New York haijawahi pitwa na Washington
Lagos haijawai pitwa na Abuja
Yeahnajua Fom pia, nna jamaangu amejenga kule ilazo, its a nice place ba nimeona nyumba zinafanana na nyumba zilizopo dar NASALUTE SANA MAN… ILA DAR NI SWALA LINGINE MKUU. Niliwah kufanya kazi ya kuzunguka mkoa kwa mkoa man nachoweza kusema kuna sehemu mkuu bado saaaaaana yan daaah mwanangu hii nchi kubwa sanaaa na sehemu kubwa haina watu kabisa yan 75 percent ya tanzania ni mapori unaweza sema wanyama ni wengi kuliko binadamu Tanzania mkuu…ILAZO A NICE PLACE nlikula sausage choma zile zinatengenezwa kenya na tulinunua shoprite kama sikosei na by that time nlikuwa sijui kama kuna shoprite Dom, tukafanya kahouse party ketu pale tukaenjoi ila pia 80% ya watu walokuwepo ni watu wa dar so bado inabid Dar uisalute…nikiendaga bambalaga na pale sijui wapi nimesahau jina sikosi mtu nnaemjua wa kumkuta viwanjani Dar ila anyways KUDOS again man..
Hapa umegeuza mkuu,Lagos na Abuja ni lipi jiji kubwa?
Pamoja man ✊🏽Same here man, I salute 👍👍👍
Kweli mkuu we angalia hata apo dodoma unajua sio mbali hata na kongwa hapo ila kongwa unapaonaje ? Watu wengi wanasema tu hawajazunguja hii nchi wakajipnea man, ni changamoto sana…Mtu aliyeizoea dar labda umpeleke mwanza ndio ataacha kwenda weekend 😁😁
Ila hata hata moro hapo watu wengi sana weekend wapo dar, jumatatu wapo ofisini na ni kweli hii nchi bado sanaaa na ukiingia vijijini kuna umaskini wa kutisha
inakuaga rahis sana kuilinganisha dar na kijiji chako ukiwa huko kijijin kwako ila ukifika mjini ukakaa mifumo ikakaa vizuri unaanza kuiona tofauti….
Dodoma hutakiwi kutoka hata km 40 kushuhudia umaskini wa kutisha maana ni pakame na zile nyumba za tembe sio mchezo.Kweli mkuu we angalia hata apo dodoma unajua sio mbali hata na kongwa hapo ila kongwa unapaonaje ? Watu wengi wanasema tu hawajazunguja hii nchi wakajipnea man, ni changamoto sana…
Kumbuka watoto wazuri wote tupo dar
Bata zote za kueleweka zipo dar