Hiyo kazi yako utafika nayo uzeeni au ukifika uzeeni unatafuta nyingine?

Hiyo kazi yako utafika nayo uzeeni au ukifika uzeeni unatafuta nyingine?

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Kuna kazi ambazo kuna umri ukifika ni lazima uiache kila kazi na umri wake.

Mfano mpira wa miguu mara nyingi ni mwisho miaka 38

Kuna kazi ambazo ni lazima utaicha mapema na kwenda kutafuta kazi ya kumalizia uzee wako

Mfano
Kukwea mlima
Ufundi wa kupaua
Udada poa
Ukonda wa dala dala

Kazi ambazo unaweza kuzeeka nazo

Mfano
Ubunge
Ulinzi wa getini
Uraisi
Ufanya biashara
Ufundi viatu
Ufundi unaohitaji akili kuliko nguvu

Je? Hiyo kazi yako utatoboa nayo uzeeni
 
Tunastaafu aidha kwa kuamua wenyewe baada ya kufanya kazi miaka mingi na kujiwekea akiba ya kutosha
Au wengine hawastaafu kwa kuwa hawakuweka chochote cha akiba hivyo inamlazimu aendelee tu kupata hela za kusukuma maisha

Kila mmoja na maamuzi yake
Wengine maradhi pia
 
Kwa ninavyoona uelekeo wa nchi yangu...kazi yangu ya ujobless naweza nikazikwa nayo kabisa
 
Tunastaafu aidha kwa kuamua wenyewe baada ya kufanya kazi miaka mingi na kujiwekea akiba ya kutosha
Au wengine hawastaafu kwa kuwa hawakuweka chochote cha akiba hivyo inamlazimu aendelee tu kupata hela za kusukuma maisha

Kila mmoja na maamuzi yake
Wengine maradhi pia
Wengine hastafu kwakuwa hawajapata warithi
 
Ngoja nichange karata zangu vizuri, nisije nikawa mlinzi uzeeni
 
Mm nazeka nayo biznes yangu!! Mungu ni mwema.






KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kama kuna mtu anataka hii kazi yangu aje nimuachie mimi nataka nijiajiri rasmi..
 
Back
Top Bottom