Hiyo kitu unayopenda kufanya ukiwa peke yako ipo siku itajulikana

maneno ya dokta
 
Kama anawala wachafu lazima apate magonjwa hadi Ngoma inatakiwa ule vitu vya grade 1 na sio wenye magonjwa
Upwiru hauna cha grade one mkuu , saa unaanza kumwangalia Dr kwa mashaka utajua haujui mkuu.
 
inachekesha ila inafikirisha.

Kuna mzee alikuwa anaheshimika mno katika jamii. Ni yule mzee ambae kila mtu anamuheshimu na kumuogopa juu.
Ila siku moja alikuja fumwa akiwa na kijana wa kiume mdogo wa miaka 18 ambae alikuwa akimlea kama mjukuu wake. Kufumwa kwake kulikuja kufanya mambo mengine mengi yabainike juu ya tabia zake za kutembea na vitoto vidogo vya kiume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…