Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ramani ipi?Hiyo ramani inaweza gharimu jumla kuu Bei gani
Location Niko mwanza
Mkuu si uache tu kunya kwanza, unawahi nini? Hiyo ramani iko wapi sasa?Hiyo ramani inaweza gharimu jumla kuu Bei gani
Location Niko mwanza
Kwanza hii sio ramani ni picha tu umechukua huko facebook na kuiweka hapa.
AsanteKwanza hii sio ramani ni picha tu umechukua huko facebook na kuiweka hapa.
Kama unataka ramani fanya haya...
1. Tafuta architect au injinia wa majengo akuchoree ramani (ingekua ni mradi mkubwa ungewahitaji wote ila kwa project ndogo kama hii unaweza chagua yeyote ila hakikisha ni architect/injinia kweli na sio mpiga dili).
2. Kwa kaproject kadogo kama hako huyo architect au injinia yeyote anaweza kukupatia na gharama za ujenzi japo kitaalam unashauriwa utafute watu wa QS.
Gharama za kukimbia wataalam ukiikwepa leo utakuja kuilipa wakati ukisha jengewa nyumba mbovu na unatakiwa kununua bati au cement kwa ajili ya repair.
ni maneno makali ila mdau kazinguaMkuu si uache tu kunya kwanza, unawahi nini? Hiyo ramani iko wapi sasa?
Licha ya kutokuwa na vipimo ila kwa macho Toilet ina ukubwa sawa na corridor 🙄
Hao unaowaita engineer nao hufanya vivyo hivyo kwa kuchora floor plan kisha sections halafu anakuwekea 3D pictures na laki tano hadi milioni inakuwa imekutoka. Mimi namshauri, kama amependa design hiyo atafute mtu amuwekee vipimo (scale) na aanze ujenzi. Roof plan na finishing vitaamuliwa baada ya boma kukamilika. Huu ndiyo ujenzi wetu wa watu wa hali ya chini, kati na hata wanaojiona hali ya juu.Kwanza hii sio ramani ni picha tu umechukua huko facebook na kuiweka hapa.
Kama unataka ramani fanya haya...
1. Tafuta architect au injinia wa majengo akuchoree ramani (ingekua ni mradi mkubwa ungewahitaji wote ila kwa project ndogo kama hii unaweza chagua yeyote ila hakikisha ni architect/injinia kweli na sio mpiga dili).
2. Kwa kaproject kadogo kama hako huyo architect au injinia yeyote anaweza kukupatia na gharama za ujenzi japo kitaalam unashauriwa utafute watu wa QS.
Gharama za kukimbia wataalam ukiikwepa leo utakuja kuilipa wakati ukisha jengewa nyumba mbovu na unatakiwa kununua bati au cement kwa ajili ya repair.
Kitaalamu hiyo ramani haijakamilika.
acha kupoteza watu. na unatisha watu. Wasiliana nasi 0762-704-031/0654-704-031.Hao unaowaita engineer nao hufanya vivyo hivyo kwa kuchora floor plan kisha sections halafu anakuwekea 3D pictures na laki tano hadi milioni inakuwa imekutoka. Mimi namshauri, kama amependa design hiyo atafute mtu amuwekee vipimo (scale) na aanze ujenzi. Roof plan na finishing vitaamuliwa baada ya boma kukamilika. Huu ndiyo ujenzi wetu wa watu wa hali ya chini, kati na hata wanaojiona hali ya juu.
Kumtafuta architect na mhandisi majengo ni gharama sana. Mfano house plan inayochukua square meter 150 (built area) inaweza kukugharimu siyo chini ya Tshs 100,000,000/= kuanzia ubunifu wa mchoro hadi myumba kukamilika. Wananchi wa ngapi Tanzania hii wanamudu hiyo🤷🏾♂️
Ulitaka iwe elfu sita?Hao unaowaita engineer nao hufanya vivyo hivyo kwa kuchora floor plan kisha sections halafu anakuwekea 3D pictures na laki tano hadi milioni inakuwa imekutoka. Mimi namshauri, kama amependa design hiyo atafute mtu amuwekee vipimo (scale) na aanze ujenzi. Roof plan na finishing vitaamuliwa baada ya boma kukamilika. Huu ndiyo ujenzi wetu wa watu wa hali ya chini, kati na hata wanaojiona hali ya juu.
Kumtafuta architect na mhandisi majengo ni gharama sana. Mfano house plan inayochukua square meter 150 (built area) inaweza kukugharimu siyo chini ya Tshs 100,000,000/= kuanzia ubunifu wa mchoro hadi myumba kukamilika. Wananchi wa ngapi Tanzania hii wanamudu hiyo🤷🏾♂️
30m ni ndogo. Labda 50Kwa gharama za sasa vifaa kupanda mpaka kukamilika 30m haipungui
Kwanza hii sio ramani ni picha tu umechukua huko facebook na kuiweka hapa.
Kama unataka ramani fanya haya...
1. Tafuta architect au injinia wa majengo akuchoree ramani (ingekua ni mradi mkubwa ungewahitaji wote ila kwa project ndogo kama hii unaweza chagua yeyote ila hakikisha ni architect/injinia kweli na sio mpiga dili).
2. Kwa kaproject kadogo kama hako huyo architect au injinia yeyote anaweza kukupatia na gharama za ujenzi japo kitaalam unashauriwa utafute watu wa QS.
Gharama za kukimbia wataalam ukiikwepa leo utakuja kuilipa wakati ukisha jengewa nyumba mbovu na unatakiwa kununua bati au cement kwa ajili ya repair.