Hiyo Tanzania ambayo akina Mandela walikuwa wanaikimbilia, leo ndio inazalisha wakimbizi wa kisiasa

Hiyo Tanzania ambayo akina Mandela walikuwa wanaikimbilia, leo ndio inazalisha wakimbizi wa kisiasa

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kuna sehemu nilisoma kwamba Mandela aliwahi kuishi Morogoro kama mkimbizi wa kisiasa akiwakimbia makaburu, alipewa hifadhi na Nyerere. Bado wengi hatuamini taarifa za kwamba Lema ambaye mara moja moja huwa namfuatilia hoja zake zilizosheheni nondo kwenye bunge la Tz, yaani yuko hapa Kenya kama mkimbizi wa kisiasa, kaitoroka nchi ya mababu zake na kuamua bora kama vipi afie ugenini, na wengine akina Nyalandu walikamatwa wakijaribu kutoroka. Kuna hizi taarifa nasoma eti wapo wengi wamekamatwa wakijaribu kutoroka nchi.

Labda nikipata fursa kwenye mishe zangu nitakwenda kumjulia hali Lema, kama inaruhusiwa.

Nadhani kuna kasoro sehemu, sitaki kuamini mumefikia huku, hiyo Bongo nimeishi na sikuona mkiwa na jeuri ya kuyafanya tunayoyasoma, mara sijui diwani kachomwa ndani ya nyumba na familia yake yote, mara wafuasi 13 wa upinzani wa sijui ACT wameuawa kinyama. Aidha kama ni kweli, inawezekana hata rais mwenyewe hajayaridhia, iwe tu kuna watu wamejijengea system yao pembeni inayofanya haya madudu na msipoungana kuyakemea kwa pamoja, yatawabamiza.

Tatizo naona vijana wengi wasioijua historia wamejitosa kwenye mitandao wamejawa na kejeli na kebehi, hawafahamu hii issue ilivyo ya hovyoo kwa nchi yenu. Japo huwa tunakua na ligi za baina ya haya mataifa yetu, ila hizi taarifa zinatuhuzunisha.

---------------

Dar es Salaam/Arusha. Longido District Commissioner Frank Mwaisumbe yesterday alleged there was a list of opposition leaders who wanted to flee the country to tainting the government’s image.

The DC did not reveal the names but said authorities had a long list of names. He was speaking to Mwananchi in an interview after former minister Lazaro Nyalandu was blocked from crossing into Kenya yesterday.

Mr Mwaisumbe confirmed that Nyalandu who is a top Chadema official and who contested the Singida North parliamentary seat in the October 28 polls, was barred from entering Kenyaat Namanga. This came only a day following former Arusha MP Godbless Lema’s escape into Kenya where he is seeking refuge.

 
Kuna sehemu nilisoma kwamba Mandela aliwahi kuishi Morogoro kama mkimbizi wa kisiasa akiwakimbia makaburu, alipewa hifadhi na Nyerere. Bado wengi hatuamini taarifa za kwamba Lema ambaye mara moja moja huwa namfuatilia hoja zake zilizosheheni nondo kwenye bunge la Tz, yaani yuko hapa Kenya kama mkimbizi wa kisiasa, kaitoroka nchi ya mababu zake na kuamua bora kama vipi afie ugenini, na wengine akina Nyalandu walikamatwa wakijaribu kutoroka. Kuna hizi taarifa nasoma eti wapo wengi wamekamatwa wakijaribu kutoroka nchi.

Labda nikipata fursa kwenye mishe zangu nitakwenda kumjulia hali Lema, kama inaruhusiwa.....

Nadhani kuna kasoro sehemu, sitaki kuamini mumefikia huku, hiyo Bongo nimeishi na sikuona mkiwa na jeuri ya kuyafanya tunayoyasoma, mara sijui diwani kachomwa ndani ya nyumba na familia yake yote, mara wafuasi 13 wa upinzani wa sijui ACT wameuawa kinyama. Aidha kama ni kweli, inawezekana hata rais mwenyewe hajayaridhia, iwe tu kuna watu wamejijengea system yao pembeni inayofanya haya madudu na msipoungana kuyakemea kwa pamoja, yatawabamiza.

Tatizo naona vijana wengi wasioijua historia wamejitosa kwenye mitandao wamejawa na kejeli na kebehi, hawafahamu hii issue ilivyo ya hovyoo kwa nchi yenu. Japo huwa tunakua na ligi za baina ya haya mataifa yetu, ila hizi taarifa zinatuhuzunisha.
-----------------------------------------

Dar es Salaam/Arusha. Longido District Commissioner Frank Mwaisumbe yesterday alleged there was a list of opposition leaders who wanted to flee the country to tainting the government’s image.

The DC did not reveal the names but said authorities had a long list of names. He was speaking to Mwananchi in an interview after former minister Lazaro Nyalandu was blocked from crossing into Kenya yesterday.

Mr Mwaisumbe confirmed that Nyalandu who is a top Chadema official and who contested the Singida North parliamentary seat in the October 28 polls, was barred from entering Kenyaat Namanga. This came only a day following former Arusha MP Godbless Lema’s escape into Kenya where he is seeking refuge.
Huyo anatafuta Kiki tuu arudi alipe madeni ya watu aache uhuni na kuchafua nnchi

Sent from my H3223 using JamiiForums mobile app
 
Kuna sehemu nilisoma kwamba Mandela aliwahi kuishi Morogoro kama mkimbizi wa kisiasa akiwakimbia makaburu, alipewa hifadhi na Nyerere. Bado wengi hatuamini taarifa za kwamba Lema ambaye mara moja moja huwa namfuatilia hoja zake zilizosheheni nondo kwenye bunge la Tz, yaani yuko hapa Kenya kama mkimbizi wa kisiasa, kaitoroka nchi ya mababu zake na kuamua bora kama vipi afie ugenini, na wengine akina Nyalandu walikamatwa wakijaribu kutoroka. Kuna hizi taarifa nasoma eti wapo wengi wamekamatwa wakijaribu kutoroka nchi.

Labda nikipata fursa kwenye mishe zangu nitakwenda kumjulia hali Lema, kama inaruhusiwa.

Nadhani kuna kasoro sehemu, sitaki kuamini mumefikia huku, hiyo Bongo nimeishi na sikuona mkiwa na jeuri ya kuyafanya tunayoyasoma, mara sijui diwani kachomwa ndani ya nyumba na familia yake yote, mara wafuasi 13 wa upinzani wa sijui ACT wameuawa kinyama. Aidha kama ni kweli, inawezekana hata rais mwenyewe hajayaridhia, iwe tu kuna watu wamejijengea system yao pembeni inayofanya haya madudu na msipoungana kuyakemea kwa pamoja, yatawabamiza.

Tatizo naona vijana wengi wasioijua historia wamejitosa kwenye mitandao wamejawa na kejeli na kebehi, hawafahamu hii issue ilivyo ya hovyoo kwa nchi yenu. Japo huwa tunakua na ligi za baina ya haya mataifa yetu, ila hizi taarifa zinatuhuzunisha.

---------------

Dar es Salaam/Arusha. Longido District Commissioner Frank Mwaisumbe yesterday alleged there was a list of opposition leaders who wanted to flee the country to tainting the government’s image.

The DC did not reveal the names but said authorities had a long list of names. He was speaking to Mwananchi in an interview after former minister Lazaro Nyalandu was blocked from crossing into Kenya yesterday.

Mr Mwaisumbe confirmed that Nyalandu who is a top Chadema official and who contested the Singida North parliamentary seat in the October 28 polls, was barred from entering Kenyaat Namanga. This came only a day following former Arusha MP Godbless Lema’s escape into Kenya where he is seeking refuge.

Tanzania haina wakimbizi nje ya nchi bali ina wasanii wanaoigiza ukimbizi
 
Duuu naona nyuzi za kutosha kuhusu huyo jamaa aliyekwenda matembezini nirobery. Huyo hana hoja, ni kuchanganyikiwa kwa kukosa ubunge. Maana kipindi hiki cha mwanzo hawakosi mikopo kama tzs200mio. Sasa akifikiria hilo anapagawa. Usicheze na kufulia.
 
Duuu naona nyuzi za kutosha kuhusu huyo jamaa aliyekwenda matembezini nirobery. Huyo hana hoja, ni kuchanganyikiwa kwa kukosa ubunge. Maana kipindi hiki cha mwanzo hawakosi mikopo kama tzs200mio. Sasa akifikiria hilo anapagawa. Usicheze na kufulia.
Kumbe wewe pia huwa na akili ndogo hivi?
 
Hao ni wahuni Kama wahuni wengine watuambie na ushahid wametishiwa maisha na nan?
 
Kuna sehemu nilisoma kwamba Mandela aliwahi kuishi Morogoro kama mkimbizi wa kisiasa akiwakimbia makaburu, alipewa hifadhi na Nyerere. Bado wengi hatuamini taarifa za kwamba Lema ambaye mara moja moja huwa namfuatilia hoja zake zilizosheheni nondo kwenye bunge la Tz, yaani yuko hapa Kenya kama mkimbizi wa kisiasa, kaitoroka nchi ya mababu zake na kuamua bora kama vipi afie ugenini, na wengine akina Nyalandu walikamatwa wakijaribu kutoroka. Kuna hizi taarifa nasoma eti wapo wengi wamekamatwa wakijaribu kutoroka nchi.

Labda nikipata fursa kwenye mishe zangu nitakwenda kumjulia hali Lema, kama inaruhusiwa.

Nadhani kuna kasoro sehemu, sitaki kuamini mumefikia huku, hiyo Bongo nimeishi na sikuona mkiwa na jeuri ya kuyafanya tunayoyasoma, mara sijui diwani kachomwa ndani ya nyumba na familia yake yote, mara wafuasi 13 wa upinzani wa sijui ACT wameuawa kinyama. Aidha kama ni kweli, inawezekana hata rais mwenyewe hajayaridhia, iwe tu kuna watu wamejijengea system yao pembeni inayofanya haya madudu na msipoungana kuyakemea kwa pamoja, yatawabamiza.

Tatizo naona vijana wengi wasioijua historia wamejitosa kwenye mitandao wamejawa na kejeli na kebehi, hawafahamu hii issue ilivyo ya hovyoo kwa nchi yenu. Japo huwa tunakua na ligi za baina ya haya mataifa yetu, ila hizi taarifa zinatuhuzunisha.

---------------

Dar es Salaam/Arusha. Longido District Commissioner Frank Mwaisumbe yesterday alleged there was a list of opposition leaders who wanted to flee the country to tainting the government’s image.

The DC did not reveal the names but said authorities had a long list of names. He was speaking to Mwananchi in an interview after former minister Lazaro Nyalandu was blocked from crossing into Kenya yesterday.

Mr Mwaisumbe confirmed that Nyalandu who is a top Chadema official and who contested the Singida North parliamentary seat in the October 28 polls, was barred from entering Kenyaat Namanga. This came only a day following former Arusha MP Godbless Lema’s escape into Kenya where he is seeking refuge.

tUCHAPE KAZI na tuwapuuze akina Lemama, na Lissusu...Hao siyo wakimbizi wa kisiasa bali ni WANASIASA WAIGIZAJI!
 
tUCHAPE KAZI na tuwapuuze akina Lemama, na Lissusu...Hao siyo wakimbizi wa kisiasa bali ni WANASIASA WAIGIZAJI!
Wake up!!!Mkuu huwezi kuchapa kazi kwa kulazimishwa, huwezi kuchapa kazi ukiwa na msongo wa mawazo,huwezi kuchapa kazi wakati unaona Watanzania wenzako wanateseka,huwezi kuchapa kazi wakati unaona nchi inapata jina baya

Labda mtu kama wewe unaweza kuchapa KAZI, Kwasababu umelelewa Kwa vichapo,unaona haya yanayotokea ni sawa tu..

Unaona kuwa huwezi kupeleka hoja Kwa mlegwa na akaifahamu bila ya kumuadhibu,bila ya kumtesa....

Free Mazrui,Free all Political prisoners
 
Kwa comment hizi za baadhi ya watz ni bora tu Jiwe aendelee kuwabana zaidi, hadi akili ziwarudie. Akiweza awaamrishe wote wavae uniform kama za shule ya msingi na machifu na maDC wawe wanatembeza kichapo daily. Maanake haingii akilini kwamba mtu aliye na akili timamu atasema kwamba jamaa anaacha mali, marafiki na jamaa zake nyuma. Kisha anaandamana na mke na watoto wake pia, hadi nchi jirani kama 'maigizo'.
 
Akili ndogo ni chini ya kipimo gani?
😄😃😀😁
Kwa kiingereza tunaiita low IQ. Mimi nilidhani wewe ni bab kubwa. Unashindana na Einstein. Lakini kumbe yako iko 70s
 
Kuna sehemu nilisoma kwamba Mandela aliwahi kuishi Morogoro kama mkimbizi wa kisiasa akiwakimbia makaburu, alipewa hifadhi na Nyerere. Bado wengi hatuamini taarifa za kwamba Lema ambaye mara moja moja huwa namfuatilia hoja zake zilizosheheni nondo kwenye bunge la Tz, yaani yuko hapa Kenya kama mkimbizi wa kisiasa, kaitoroka nchi ya mababu zake na kuamua bora kama vipi afie ugenini, na wengine akina Nyalandu walikamatwa wakijaribu kutoroka. Kuna hizi taarifa nasoma eti wapo wengi wamekamatwa wakijaribu kutoroka nchi.

Labda nikipata fursa kwenye mishe zangu nitakwenda kumjulia hali Lema, kama inaruhusiwa.

Nadhani kuna kasoro sehemu, sitaki kuamini mumefikia huku, hiyo Bongo nimeishi na sikuona mkiwa na jeuri ya kuyafanya tunayoyasoma, mara sijui diwani kachomwa ndani ya nyumba na familia yake yote, mara wafuasi 13 wa upinzani wa sijui ACT wameuawa kinyama. Aidha kama ni kweli, inawezekana hata rais mwenyewe hajayaridhia, iwe tu kuna watu wamejijengea system yao pembeni inayofanya haya madudu na msipoungana kuyakemea kwa pamoja, yatawabamiza.

Tatizo naona vijana wengi wasioijua historia wamejitosa kwenye mitandao wamejawa na kejeli na kebehi, hawafahamu hii issue ilivyo ya hovyoo kwa nchi yenu. Japo huwa tunakua na ligi za baina ya haya mataifa yetu, ila hizi taarifa zinatuhuzunisha.

---------------

Dar es Salaam/Arusha. Longido District Commissioner Frank Mwaisumbe yesterday alleged there was a list of opposition leaders who wanted to flee the country to tainting the government’s image.

The DC did not reveal the names but said authorities had a long list of names. He was speaking to Mwananchi in an interview after former minister Lazaro Nyalandu was blocked from crossing into Kenya yesterday.

Mr Mwaisumbe confirmed that Nyalandu who is a top Chadema official and who contested the Singida North parliamentary seat in the October 28 polls, was barred from entering Kenyaat Namanga. This came only a day following former Arusha MP Godbless Lema’s escape into Kenya where he is seeking refuge.

Yaani hayo magazeti ya Kenya yanayoshabikia ujinga hapa Tanzania unayaamini
 
Kuna sehemu nilisoma kwamba Mandela aliwahi kuishi Morogoro kama mkimbizi wa kisiasa akiwakimbia makaburu, alipewa hifadhi na Nyerere. Bado wengi hatuamini taarifa za kwamba Lema ambaye mara moja moja huwa namfuatilia hoja zake zilizosheheni nondo kwenye bunge la Tz, yaani yuko hapa Kenya kama mkimbizi wa kisiasa, kaitoroka nchi ya mababu zake na kuamua bora kama vipi afie ugenini, na wengine akina Nyalandu walikamatwa wakijaribu kutoroka. Kuna hizi taarifa nasoma eti wapo wengi wamekamatwa wakijaribu kutoroka nchi.

Labda nikipata fursa kwenye mishe zangu nitakwenda kumjulia hali Lema, kama inaruhusiwa.

Nadhani kuna kasoro sehemu, sitaki kuamini mumefikia huku, hiyo Bongo nimeishi na sikuona mkiwa na jeuri ya kuyafanya tunayoyasoma, mara sijui diwani kachomwa ndani ya nyumba na familia yake yote, mara wafuasi 13 wa upinzani wa sijui ACT wameuawa kinyama. Aidha kama ni kweli, inawezekana hata rais mwenyewe hajayaridhia, iwe tu kuna watu wamejijengea system yao pembeni inayofanya haya madudu na msipoungana kuyakemea kwa pamoja, yatawabamiza.

Tatizo naona vijana wengi wasioijua historia wamejitosa kwenye mitandao wamejawa na kejeli na kebehi, hawafahamu hii issue ilivyo ya hovyoo kwa nchi yenu. Japo huwa tunakua na ligi za baina ya haya mataifa yetu, ila hizi taarifa zinatuhuzunisha.

---------------

Dar es Salaam/Arusha. Longido District Commissioner Frank Mwaisumbe yesterday alleged there was a list of opposition leaders who wanted to flee the country to tainting the government’s image.

The DC did not reveal the names but said authorities had a long list of names. He was speaking to Mwananchi in an interview after former minister Lazaro Nyalandu was blocked from crossing into Kenya yesterday.

Mr Mwaisumbe confirmed that Nyalandu who is a top Chadema official and who contested the Singida North parliamentary seat in the October 28 polls, was barred from entering Kenyaat Namanga. This came only a day following former Arusha MP Godbless Lema’s escape into Kenya where he is seeking refuge.

Haya magazeti ya Kenya yanakumeza akili mkuu.. hebu kila nchi ifuate hamsini zake, acha wapambane na corona na huku Gwajima aape. Hawa wanaojiita wakimbizi wa kisiasa warudi walime tu mvua zinanyesha ohoooo..! [emoji1]
 
Kuna sehemu nilisoma kwamba Mandela aliwahi kuishi Morogoro kama mkimbizi wa kisiasa akiwakimbia makaburu, alipewa hifadhi na Nyerere. Bado wengi hatuamini taarifa za kwamba Lema ambaye mara moja moja huwa namfuatilia hoja zake zilizosheheni nondo kwenye bunge la Tz, yaani yuko hapa Kenya kama mkimbizi wa kisiasa, kaitoroka nchi ya mababu zake na kuamua bora kama vipi afie ugenini, na wengine akina Nyalandu walikamatwa wakijaribu kutoroka. Kuna hizi taarifa nasoma eti wapo wengi wamekamatwa wakijaribu kutoroka nchi.

Labda nikipata fursa kwenye mishe zangu nitakwenda kumjulia hali Lema, kama inaruhusiwa.

Nadhani kuna kasoro sehemu, sitaki kuamini mumefikia huku, hiyo Bongo nimeishi na sikuona mkiwa na jeuri ya kuyafanya tunayoyasoma, mara sijui diwani kachomwa ndani ya nyumba na familia yake yote, mara wafuasi 13 wa upinzani wa sijui ACT wameuawa kinyama. Aidha kama ni kweli, inawezekana hata rais mwenyewe hajayaridhia, iwe tu kuna watu wamejijengea system yao pembeni inayofanya haya madudu na msipoungana kuyakemea kwa pamoja, yatawabamiza.

Tatizo naona vijana wengi wasioijua historia wamejitosa kwenye mitandao wamejawa na kejeli na kebehi, hawafahamu hii issue ilivyo ya hovyoo kwa nchi yenu. Japo huwa tunakua na ligi za baina ya haya mataifa yetu, ila hizi taarifa zinatuhuzunisha.

---------------

Dar es Salaam/Arusha. Longido District Commissioner Frank Mwaisumbe yesterday alleged there was a list of opposition leaders who wanted to flee the country to tainting the government’s image.

The DC did not reveal the names but said authorities had a long list of names. He was speaking to Mwananchi in an interview after former minister Lazaro Nyalandu was blocked from crossing into Kenya yesterday.

Mr Mwaisumbe confirmed that Nyalandu who is a top Chadema official and who contested the Singida North parliamentary seat in the October 28 polls, was barred from entering Kenyaat Namanga. This came only a day following former Arusha MP Godbless Lema’s escape into Kenya where he is seeking refuge.

Hata Kambona alikimbia nchi hii. Watz hatucheki na vibaraka wa wazungu hata siku moja lazima wakimbie wenyewe!
 
Kwa comment hizi za baadhi ya watz ni bora tu Jiwe aendelee kuwabana zaidi, hadi akili ziwarudie. Akiweza awaamrishe wote wavae uniform kama za shule ya msingi na machifu na maDC wawe wanatembeza kichapo daily. Maanake haingii akilini kwamba mtu aliye na akili timamu atasema kwamba jamaa anaacha mali, marafiki na jamaa zake nyuma. Kisha anaandamana na mke na watoto wake pia, hadi nchi jirani kama 'maigizo'.
Anakimbia kesi na probably madeni.
Pia anaweza kutaka kubali cha kuishi Ulaya na Amerika kwa kigezo cha political asylum...
 
Back
Top Bottom