Mwamba wa Kifo
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 268
- 164
MK254, uwe unajua au hujui, ukweli ni kwamba Mandela alifika nchini kwa harakati za kupambana na Kaburu. Leo Wapinzani(Chadema) wanapambana kumrudisha Bepali/Kaburu ni Kaburu tu hakuna jina jingine la kuwapa ni Makaburu tu. Sasa wanakimbia nchi kwasababu hawataki kupambana na Bepali/Kaburu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app