Tetesi: Hiyo vita ya risasi Kilimanjaro Airport imesababishwa na nini?

Tetesi: Hiyo vita ya risasi Kilimanjaro Airport imesababishwa na nini?

wasije kuwa magaidi walitaka kuteka airport, tuwe makini sana na haya mashetani.
 
"Niliona vita kuelekea 2025" sauti ya nabii!

Inawezekana kabisa,milio ya risasi huko mbeleni ikawa jambo la kawaida nchini!!
 
Naomba Mungu Hamas wawe wamekuja bongo kuondoa ma CCM n jwtz Yao, wapigwe wapigwe tu
Umewahi kusikia,kuona ama kusoma athari za vita ndg? Jiridhishe kwanza kwa kujua hizo athari Kisha urekebishe Ombi lako kwa Mungu
 
Ni frustration tu bro! CCM wametufikisha pabaya! Nipo hapa nawasikiliza vijanq waliotoka kwenye interview Dodoma, kwanza wanadai majina ya, watoto wa wakubwa, (mfano Mabeyo) walikuwa wanafanyiwa upendeleo wa wazi! Kingine unakuta nafasi zipo 20,waliokuja ni 500+
Pole dogo!!lakini endelea kuombea Amani ya nchi yako.Mambo mazuri yatakuja tu.

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
 
wabongo waoga kmmk yaani vimilio vya risasi tu mnajambiana..ila mkiwa majukwaani midomo mirefu
Ukiwakuta wanavyopiga story za Gaza utasema miamba ndio hii sasa kumbe Mikunguru ya kutupwa.
 
Naomba Mungu Hamas wawe wamekuja bongo kuondoa ma CCM n jwtz Yao, wapigwe wapigwe tu
Wameshindwa kwa Wayudi wataweza CCM? CCM ni mafia usiombe kuingia kwenye mfumo wao. Ila kuna siku watajaa kwenye kumi nane za Mwenyezi Mungu.
 
Back
Top Bottom