Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisikia zimeshatoka toka last weekMsaada wakuu kuhusu kichwa cha habari au mpk uwe na connection?
Na Kama bado zipo una apply vipi?
Mbona nimeshuhudia Leo by saa 4 asubuhi dada mmoja Buhongwa kavaa pedo ya Jeans,ana paint kwenye ukuta( yupo kazini)..Utaratibu wake upoje sasa
Kuna mkoa walizitangaza kabisa na kwamba, wanatakiwa form four..Msaada wakuu kuhusu kichwa cha habari au mpaka uwe na connection?
Na Kama bado zipo una apply vipi?
Hata bariadi Simiyu badoKuna binamu yangu Yuko huko mikoa ya Kusini ananambia kuwa bado hamna matangazo yoyote ya hizi Ajira kwenye Halmashauri hata 1.. Sasa hii inakuwaje au hizi mambo ni kwa baadhi ya mikoa tu..?
Ww bila shaka ni wa kwa mkurugenzi wa manisipaa, SLP 14 SONGEA. unazungumzua UKUSANYAJI WA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTOKODI.Kuna mikoa wanalipwa 15k alafu ni kwa siku 11 tu
Sensa!! Umechanganya weweMbona nimeshuhudia Leo by saa 4 asubuhi dada mmoja Buhongwa kavaa pedo ya Jeans,ana paint kwenye ukuta( yupo kazini)..
- Ngoja nipite mitaa hiyo tena,nimpige picha,niiweke hapa mida hii kama bado yupo
Kuna binamu yangu Yuko huko mikoa ya Kusini ananambia kuwa bado hamna matangazo yoyote ya hizi Ajira kwenye Halmashauri hata 1.. Sasa hii inakuwaje au hizi mambo ni kwa baadhi ya mikoa tu..?
pambana kesho mapema upelekeView attachment 2137307
View attachment 2137308
Yani tangazo unaliona leo na kesho mwsho..
Ngojaaa nichekeee [emoji23][emoji23][emoji8]