Hizi App za mikopo online ni mkombozi wa wanyonge au nyonya damu?

Hizi App za mikopo online ni mkombozi wa wanyonge au nyonya damu?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Ni uzi mwingine tena kuhusu Application za kukopesha watu ukiwa na dharura.

Sijakopa, ila hii weekend nimetumiwa zaidi ya meseji 8 tofauti tofauti ya watu wanne nnaowajua wamekopa na hawajalipa sasa meseji inasema niwaambie walipe.

Screenshot_20240520-174157~2.png

Wao wanasema mimi niliwekwa kama mdhamini lakini baada ya kufuatilia nimeambiwa hivi:

Ile App inaomba permission ya kuaccess contacts zako, wewe si una njaa unasema yes, inamaana kwenye info zako wana contacts zako zote za kwenye simu, ndio maana wanawatumia woote.

Sasa wakuu, hivi hii mikopo ni kweli inatusaidia au ndio inatumaliza kabisa.

Unakopa 20,000/= kwenye simu inaingia 17,500/= eti kwamba nyingine ni processing fee, hafu kwenye simu ukienda kwa wakala apo unapata 16,000/= hafu unatakiwa ulipe 27,000/=, karibia 10,000/= imeongezeka.

Nadhani ifike muda serikali na mamlaka usika waingilie hii issue.
 
Ni uzi mwingine tena kuhusu Application za kukopesha watu ukiwa na dharura.

Sijakopa, ila hii weekend nimetumiwa zaidi ya meseji 8 tofauti tofauti ya watu wanne nnaowajua wamekopa na hawajalipa sasa meseji inasema niwaambie walipe.

View attachment 2995213
Wao wanasema mimi niliwekwa kama mdhamini lakini baada ya kufuatilia nimeambiwa hivi:

Ile App inaomba permission ya kuaccess contacts zako, wewe si una njaa unasema yes, inamaana kwenye info zako wana contacts zako zote za kwenye simu, ndio maana wanawatumia woote.

Sasa wakuu, hivi hii mikopo ni kweli inatusaidia au ndio inatumaliza kabisa.

Unakopa 20,000/= kwenye simu inaingia 17,500/= eti kwamba nyingine ni processing fee, hafu kwenye simu ukienda kwa wakala apo unapata 16,000/= hafu unatakiwa ulipe 27,000/=, karibia 10,000/= imeongezeka.

Nadhani ifike muda serikali na mamlaka usika waingilie hii issue.
Njaa mbaya ndugu yangu. Na jamaa wanatumia udhaifu huo.

Mitaani kunanuka njaa vibaya sana.
 
Ni uzi mwingine tena kuhusu Application za kukopesha watu ukiwa na dharura.

Sijakopa, ila hii weekend nimetumiwa zaidi ya meseji 8 tofauti tofauti ya watu wanne nnaowajua wamekopa na hawajalipa sasa meseji inasema niwaambie walipe.

View attachment 2995213
Wao wanasema mimi niliwekwa kama mdhamini lakini baada ya kufuatilia nimeambiwa hivi:

Ile App inaomba permission ya kuaccess contacts zako, wewe si una njaa unasema yes, inamaana kwenye info zako wana contacts zako zote za kwenye simu, ndio maana wanawatumia woote.

Sasa wakuu, hivi hii mikopo ni kweli inatusaidia au ndio inatumaliza kabisa.

Unakopa 20,000/= kwenye simu inaingia 17,500/= eti kwamba nyingine ni processing fee, hafu kwenye simu ukienda kwa wakala apo unapata 16,000/= hafu unatakiwa ulipe 27,000/=, karibia 10,000/= imeongezeka.

Nadhani ifike muda serikali na mamlaka usika waingilie hii issue.
Hao hawana tofauti na kupe hawafai
 
Ni uzi mwingine tena kuhusu Application za kukopesha watu ukiwa na dharura.

Sijakopa, ila hii weekend nimetumiwa zaidi ya meseji 8 tofauti tofauti ya watu wanne nnaowajua wamekopa na hawajalipa sasa meseji inasema niwaambie walipe.

View attachment 2995213
Wao wanasema mimi niliwekwa kama mdhamini lakini baada ya kufuatilia nimeambiwa hivi:

Ile App inaomba permission ya kuaccess contacts zako, wewe si una njaa unasema yes, inamaana kwenye info zako wana contacts zako zote za kwenye simu, ndio maana wanawatumia woote.

Sasa wakuu, hivi hii mikopo ni kweli inatusaidia au ndio inatumaliza kabisa.

Unakopa 20,000/= kwenye simu inaingia 17,500/= eti kwamba nyingine ni processing fee, hafu kwenye simu ukienda kwa wakala apo unapata 16,000/= hafu unatakiwa ulipe 27,000/=, karibia 10,000/= imeongezeka.

Nadhani ifike muda serikali na mamlaka usika waingilie hii issue.
Kuna notification hutolewa na BOT kwamba unatakiwa kukopa kwenye taasisi zinazotambulika na zilizokidhi vigezo. Sijui unapopata usumbufu wa sms wanaona na wao. Hivyo,kuwasiliana na watu wako kusikupe tabu.
 
Hivi inamaana unavyokopa elf 20 kwa hao matapeli ina maana mtaani huaminiki ?

Sina hakika Kama kuna mtu humu ndani hana hata rafiki ambae ni wakala anayeweza akamdhamini híyo pesa...

Kinyume na hapo basi huaminiki mtaani...

Na kukopa pesa nyingi kwa hao watu ni kuwapa faida tu..
 
Hili suala nililiongelea kwenye uzi wangu;

Kuna mtu alisema BOT inalishughulikia

 
App Gani uhakika wanikopeshe niongeze bia mbili mezani
 
Back
Top Bottom