Don chul Lingula
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 363
- 276
Jamani nachukia sana watu wanapopata bahati za pesa Mara kwa kubeti Mara tatu mzuka mara biko wakati cc tunapigika huku kitaa kwa kupambana na hali zetu hzi pesa huwa zinakosea njia jamani au vp sielewi au ndio kila mtu na msalaba wake