Hizi Bidhaa zina soko hapa Tanzania?

Picha ya kwanza mpka ya 4 ina utoto mwingi na ujana mchanga,wengi hawana hayo magari ya kuweka hizo. Ila kuanzia ya 5 yes ni nzuri na za daraja la watu ambao wamejenga au wanajenga hapo wateja watakuwepo.
Unaweza tengeneza kwanza group ukaanza kwa kupokea order kwa wanaokufahamu ukaagiza mzigo ukijua kuna ambazo teyari zimeshachukuliwa.
Ila usiogope anza sasa
 
kama hizo taa kuna mwanangu anataka kam nne hivi kaniambia nimuulizie bei anitumie pesaa nimtumiemm nipo daaar yeye mkoani
wewe ukileta biashara ipo sana
jiunge magroup ya FACEBOOK post bidhaa zako toa maelezo kule ndio kuna wateja wengi sana amini nakuambia kuliko hata instagram
mimi nafanya biashara ninajua
 
Mkuu, hizi taa Zina utoto gani? Au ni bidhaa gani hizo unazosema Zina utoto?
 
So ni kwamba mkoani taa za aina hyo hakuna au zipo ila bei ndio kubwa?
 
Bei zako ndio zitakazo kutoa vzr sokoni.
 
Zinauzika tuwasiliane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…