Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we dada una nn lakin😂😂😂Ndevu za mwanaume zilichongwa kwa ustadi
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Na kiwe kimeungwa na karanga zilizokaangwa na kisha kusagwa.Hasa kiwe na pilipili kidogo
???? [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Mchele na maharage
Vp tena kujificha ndo favorite yako ee????? [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Wali na nyama
Mchele na maharage
Mzuzu na soseji
Ndio maana ni bonge nyanya[emoji23][emoji23][emoji23]Wali na kisamvu
😂😂😂😂chibongeeeNdio maana ni bonge nyanya[emoji23][emoji23][emoji23]
..........................+MlendaUgali na samaki +mtindi
gegedo papuchi1. Samaki na mihogo
2. Ndizi na nyama
3. Mzuzu mbivu na maini au figo
4. Prawns na tambi nyembamba
Staili moja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]chibongeee
+ Maziwa..........................+Mlenda
Oooh umenikumbusha pilau, acha iwe menu ya kesho[emoji39][emoji39][emoji39]Hasa kama huna hela mkuu ndiyo unatamani pilau na kachumbari na Mirinda ya baridi
Ugali wa mhogo na kikubwa kienyeji aliyepikwa mchuzi chuku chuku wa mbilimbi na ngogweUgali wa mhogo na mchuzi wa papa ulokolea nazi na bamia na nyanya chungu
Ugali dagaa (Uono), tembele /mlenda
Finally ndizi choma (mzuzu) + kuku choma + pepsi baridi