Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
Naomba kujua dalili hizi zinaweza kuwa ugonjwa upi..
-kuchoka mara kwa Mara na usingizi mzito
-kuwa na hasira
-kuwa na njaa muda wote hata kama chakula kikiliwa
Nilikuwa napenda kufahamu ni ugonjwa gani huo!!!???
-kuchoka mara kwa Mara na usingizi mzito
-kuwa na hasira
-kuwa na njaa muda wote hata kama chakula kikiliwa
Nilikuwa napenda kufahamu ni ugonjwa gani huo!!!???